Hakuna mchezaji aliyefikia kiwango cha Pele?

TANZANNIA

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
1,047
Reaction score
385
Kwa wale wenye umri mtakuwa mnamkumbuka pele wa Brazil miaka ya 60 na 70, lakini baadae miaka ya 80 aliibuka Maradona.

Miaka ya hivi karibuni akatokea De lima,Ronadinho, kaka nk.Sasa hivi wanavuma Christian Ronaldo na Lionel Messi, je inawezekana kati ya hawa wote hakuna aliyefika kiwango cha pele?
 
Zidane
Ronaldinho wamempita Pele kwa mbali sana.
Nimeangalia clip nyingi za Pele,hakuna cha ajabu ambacho kina Dinho na Zidane hawajakifanya.
IIla alichokifanya dinho uwanjani,Pele hajafikiahajafikia hata 80 % yake.
 
unaku
Zidane
Ronaldinho wamempita Pele kwa mbali sana.
Nimeangalia clip nyingi za Pele,hakuna cha ajabu ambacho kina Dinho na Zidane hawajakifanya.
IIla alichokifanya dinho uwanjani,Pele hajafikiahajafikia hata 80 % yake.
mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtoto
 
unaku

mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtoto
Sio kweli. Legendary ni Diego Armando Maradona. Pele ni sehemu ya propaganda za fifa. Kumbuka nyota woooote waliowika wamecheza ulaya, tena vilabu vikubwa. Lakini huyu Pele yeye kacheza huko kwao na kamalizia soka lake kule marekani.

Kwangu Diego Maradona ndio mkali kuliko woote akifatiwa na Messi Gaucho, CR7 ndio wanafuata kina zizzou, Benkenbur nk
 

Huitaji kuuliza kijana miaka yote mashabiki wa soccer ulimwenguni wanamtambua huyu kiumbe ndiye mchezaji bora all of time kuwahi kutokea! Sasa wewe unauliza tena jibu wakati inajulikana kabisa.ni

MIKE TYSON AKIWA AMEVAA JEZI NO 10 YA DIEGO10S




Baada ya huyu kiumbe anayefuata nadhani unamjua MAGICIAN LM10
 
1:MARADONA- ARGENTINA
2:MESSI- ARGENTINA
3:NO
4:NO
5:ZINEDINE- FRANCE
6;PELE- BRAZIL
7:BECKENBAUER- GERMANY
8:ALFREDO DE STEFANO- ARGENTINA
9:CR7- PORTUGAL
10:GEORGE BEST- NORTH IRELAND
11:REDONDO- ARGENTINA
.
.
.
.
.
 
unaku

mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtoto

Huo ni mtazamo wako wewe, hapa DIEGO ndio anajulikana kwa takwimu za fifa,mashabiki kote duniani wanamtambua huyu jamaa! huyo pele hata kwa zinedine (zizle) hagusi.narudia tena After D10S anafuata LM10S..
 
Ngoja Gang Chomba aje kuamua ubishi

πŸ˜›πŸ˜› Huyo jamaa maneno mengi mno,ana mambo ya kizamazani kwelikweli, atakuja na shabiki wake hspa muzee wa kukenua meno 24 hrs,show na kukata mauno uwanjani ndio kazi yake ilikuwaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huo ni mtazamo wako wewe, hapa DIEGO ndio anajulikana kwa takwimu za fifa,mashabiki kote duniani wanamtambua huyu jamaa! huyo pele hata kwa zinedine (zizle) hagusi.narudia tena After D10S anafuata LM10S..

Chukua like mkuu
 
"BlackPanther, post: 15341702, member: 340723"]Mkuu messi messi, ronaldinho hapo sio mahala pake! Hata top 20 hayumo kabisa[/QUOTE]
Sidhani hata kama Mungu anaweza kukusamehe hapa
Yaani dinho hayupo huko kwenye top10
Hadi cr7 anamzidi dinho?
 
Kama kuna mchezaji kamzidi messi huyo basi mwanadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…