mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtotoZidane
Ronaldinho wamempita Pele kwa mbali sana.
Nimeangalia clip nyingi za Pele,hakuna cha ajabu ambacho kina Dinho na Zidane hawajakifanya.
IIla alichokifanya dinho uwanjani,Pele hajafikiahajafikia hata 80 % yake.
Sio kweli. Legendary ni Diego Armando Maradona. Pele ni sehemu ya propaganda za fifa. Kumbuka nyota woooote waliowika wamecheza ulaya, tena vilabu vikubwa. Lakini huyu Pele yeye kacheza huko kwao na kamalizia soka lake kule marekani.unaku
mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtoto
kwa wale wenye umri mtakuwa mnamkumbuka pele wa brazil miaka ya 60 na 70,lakini baadae miaka ya 80 aliibuka maradona.miaka ya hivi karibuni akatokea de lima,ronadinho,kaka nk.sasa hivi wanavuma christian ronaldo na lionel messi,je inawezekana kati ya hawa wote hakuna aliyefika kiwango cha pele?
1.Pele
2.DM10
3.Ronaldinho
Recodi ya pele ambayo haijavunjwa ni monja tu, kuchukua world cup nyingi, zilizobakia zote tayari, kiwango cha pele ni cha kawaida kwa sasa
unaku
mbuka pele ndiye football legendery wa karne hii,kwa hiyo hao wengine ni cha mtoto
Ngoja Gang Chomba aje kuamua ubishi
Huo ni mtazamo wako wewe, hapa DIEGO ndio anajulikana kwa takwimu za fifa,mashabiki kote duniani wanamtambua huyu jamaa! huyo pele hata kwa zinedine (zizle) hagusi.narudia tena After D10S anafuata LM10S..
Recodi ya pele ambayo haijavunjwa ni monja tu, kuchukua world cup nyingi, zilizobakia zote tayari, kiwango cha pele ni cha kawaida kwa sasa
Messi is ok but not a rare talent.Mkuu messi messi, ronaldinho hapo sio mahala pake! Hata top 20 hayumo kabisa