Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Kibu ni mchezaji Bora?Hakuna mchezaji mkubwa atakubali kucheza kombe la waliofeli [emoji15]
Kama utakuwa na akili ya soka utaelewa, ndoto ya Kila mchezaji ni kucheza CAF championship (Yanga) na sio kombe la waliofeli (Simba)View attachment 3050726
Mara hii mnamgeuka kipenzi chenu Kibu Mkandaji!!Kwa hiyo Kibu ni mchezaji Bora?
Yanga ilivyofika fainali shirikisho ilikuwa na wachezaji wadogo?Hakuna mchezaji mkubwa atakubali kucheza kombe la waliofeli [emoji15]
Kama utakuwa na akili ya soka utaelewa, ndoto ya Kila mchezaji ni kucheza CAF championship (Yanga) na sio kombe la waliofeli (Simba)View attachment 3050726
Huko wenye akili ni wawili tuYanga ilivyofika fainali shirikisho ilikuwa na wachezaji wadogo?
Alitaka Rage ndio amfikishe klabu bingwa?Hakuna mchezaji mkubwa atakubali kucheza kombe la waliofeli [emoji15]
Kama utakuwa na akili ya soka utaelewa, ndoto ya Kila mchezaji ni kucheza CAF championship (Yanga) na sio kombe la waliofeli (Simba)View attachment 3050726
Sio tu mkandaji mimbumbumbu ikaongeza kabisa jina jingine et mtombangile..Mara hii mnamgeuka kipenzi chenu Kibu Mkandaji!!
Hahahaa! Kipindi kile SOPE si ndio alisema kombe la luza au?Kipindi kile.... kombe la shirikisho lilikuwa na thamani compared to now days