Siku ya harusi wakamkandika mi makeup dada wa watu akawa mzee ghafla..kumbe ni mzuri tuu...Itakua hujaona pisi ya zimbwe wewe
Sipendi hayo madude,yaani yakizidi Sana yawe Kama mpira wa jabulanWanaume wakiona nyuma wanachanganyikiwa hawajali ni ya mloganzila au nachuro...
Nalo neno.Thread ifungwe sasa, tukanywe bia 😁
Hahaahah mgongano wa maslai...Wachezaji wa Simba na Yanga mbona wake zao huwa waendi uwanjani?
Kweli aisee hhahahhaHahaahah mgongano wa maslai...
Unakuta ana bebi nusu semi
Wanaume wakiona nyuma wanachanganyikiwa hawajali ni ya mloganzila au nachuro...
Soma kilichoandikwaKabisa kabisa...
Zungu siyo jirani yake na FK21.Kumaanisha mkeo sio mzuri, inamaana umeoa mke mbaya!!
Kwanza ni dhambi kumtamani mke wa Jirani yako