Ndo maana nikasema serikali haikufata utaratibu wa kuzichukua hizo fedha na leo watu wanaweza wakatumia huo mwanya kufanya ufisadi. Kiongozi asiyesimamia taratibu na sheria za nchi yake mwenyewe hafai sababu lazima ataleta shida tu mbeleni na mambo ya fidia au mambo kama haya. Hawa watu wangekamatwa, wakafunguliwa mashtaka ya ukwepaji kodi, kesi ikasikilizwa, wakahukumiwa leo nani angekuja kusema walipwe?Serikali imekuwa mahakama.?
Mashahidi ni kina Nani Kwa wakati huo mkuu,
Si ni rahisi tu mlalamikaji kusema aliporwa bilioni kadhaa ilihali kumbe ni million moja tu
Mkuu hatuwezi tuliowengi hatuwezi kukuelewa lakini huo ndiyo ukweli mchungu, mazingira harali na kipato harali ndiyo yaliyotengenezwa, Tutahitaji nguvu kuishinda nguvu hasiAliyeporwa fefha zake, anapaswa aishitaki serikali na sio serikali kushughurikia malalamiko hewa ya wakwepa kodi
Serikali Kulipa fedha yoyote Kwa mfanya bishara bila kuwepo madai ya kimahakama, ni mbinu nyingine Kwa viongozi kukwapua pesa na kujilimbikizia Mali za umma
Hakuna aliyeporwa na serikali fedha zake, isipokuwa kuna malalamiko ya wahuni na wajanja wajanja viongozi kutaka kuiba fedha za walipa kodi na kujitenhenezea biashara zao
Ni Nani kaporwa fedha zake na serikali?
Je, alienda kuishitaki serikali na mahakama ikadhibitisha uporaji huo?
Nchi hii ni ya wote, na wajinga wameendelea kubaki wale wale wafoji vyeti, ila Kwa sasa ni vigumu kuwahadaa watanzania
Salamu Tanzania
Kwa taarifa yako mimi ni multi skilled person situmbulikiLazima uwe na makasiriko plus chuki, KUTUMBULIWA sio mchezo.
Mkuu watu walinyang'anywa mali zao bila amri za mahakama, bila uthibitisho kwamba hawalupi Kodi. TENA WENGI WALIKUWA NA TRA CLEARANCE FORM KUTHIBITISHA HAWADAIWI, Sasa serkali inataifishaje Mali ya mtu bila amri ya mahakama?? Mfano nikuulize wale watu wa bureau de change walinyang'anywa fedha na Mali zao chini ya sheria ipi??Unadhani mkuu, malalamiko tu ya mtu yeyote yatoshe kulipwa fidia?
Embu fikiri kwa upya
Wao wakati WANACHUKUA fedha za watu mabenki huko na bureau de change walienda mahakamani?? Watu wapewe Mali zao walizotafuta Kwa jashoSerikali ikianza kulipa tu fidia kwa sabb kuna watu wamelalamika kuporwa na serikali hiyo, bila mlalamikaji kwenda mahakamani na mahakama ikajiridhisha, huo ni ufisadi tuu hakuna jina lingine zaidi ya hilo
Mkuu yaan Mimi nimemaliza la Saba, Kwa ukiritimba wa serkali yangu makosa nafasi ya kwenda form one, baadae mzaz wangu anapata mahali mtoto aliacha shulena haonekani, napelekwa Mimi nikarudie darasa na naambiwa na mzazi wewe kuanzia Leo utaitwa hivi, Sasa nakataaje?? Ni kosa langu Mimi mtoto ama ni kosa la serkali na mzazi??Tehe, Tehe!
Tatizo hata mlipotimliwa nyinyi vilaza kwa kifoji vyeti, mliamua kwenda kulala bila kurudi shule!
Narudia tena, ikiwa serikali itawalipa hao wanaodhaniwa kuwa waliporwa na serikali bila ya wao kwenda kushitaki serikali,
Hizo pesa viongozi watakaohusika kuwalipa, watazirudisha tu kama ilivyokuwa fedha za Lugemalila na Seth kugawia wezi wenzao
Utakoma ulizoea vya mteremko sasa unaona faida ya ubabe.Aliyeporwa fefha zake, anapaswa aishitaki serikali na sio serikali kushughurikia malalamiko hewa ya wakwepa kodi
Serikali Kulipa fedha yoyote Kwa mfanya bishara bila kuwepo madai ya kimahakama, ni mbinu nyingine Kwa viongozi kukwapua pesa na kujilimbikizia Mali za umma
Hakuna aliyeporwa na serikali fedha zake, isipokuwa kuna malalamiko ya wahuni na wajanja wajanja viongozi kutaka kuiba fedha za walipa kodi na kujitengenezea biashara zao kupitia malamiko haya, na endapo yupo aliyeporwa, maana yake, Yuki huru kwenda mahakamani, Kwa jinsi hii tarifa zinapokuja tu eti walalamikaji wa kuilalamikia serikali kuwa waporwa walipwe fedha zao, ni uhujumu uchumi wa aina ya kiuhuni kabisa!
Kuna kiongozi Mkubwa pia aliwahi kuilalamikia serikali kuwa alitekwa na serikali, kumbe alikuwa kanywa gongo huko ikathibitika hivyo, Je, sasa, serikali kama inaamua kudili na malalamiko hewa haya yasiyothibitka mahakamani, haitalipa mapateli kama yule kiongozi alyesingizia serikali kumteka kumbe alilewa.?
Ni Nani kaporwa fedha zake na serikali? Je, kuna madai popote kwenye mahakamani zetu?
Je, alienda kuishitaki serikali na mahakama ikadhibitisha uporaji huo?
Nchi hii ni ya wote, na wajinga wameendelea kubaki wale wale wafoji vyeti, ila Kwa sasa ni vigumu kuwahadaa watanzania
Salamu Tanzania
Pole dada na shuguri nzito ya usiku kucha!Utakoma ulizoea vya mteremko sasa unaona faida ya ubabe.
Utaelewa tu usilijifanya kichwa ngumu.Pole dada na shuguri nzito ya usiku kucha!
Tulizana kwanza dada, mbona uko na papala mtoto wa like!!?Utaelewa tu usilijifanya kichwa ngumu.
Jiwe hayupo wa kukusemea leo unahangaika ukiwa wapi?Tulizana kwanza dada, mbona uko na papala mtoto wa like!!?
Lazima utakuwa unatokea kwenye ukoo wa VILAZA , kama sio wewe uliepitiwa na fyekeo la Mwamba basi ni jamaa za ukoo wako.Kwa taarifa yako mimi ni multi skilled person situmbuliki
Ni kweli hawakuporwa pesa na Serikali, waliporwa na Jiwe na mtu wake wa karibu, bwana mganga.Aliyeporwa fefha zake, anapaswa aishitaki serikali na sio serikali kushughurikia malalamiko hewa ya wakwepa kodi
Serikali Kulipa fedha yoyote Kwa mfanya bishara bila kuwepo madai ya kimahakama, ni mbinu nyingine Kwa viongozi kukwapua pesa na kujilimbikizia Mali za umma
Hakuna aliyeporwa na serikali fedha zake, isipokuwa kuna malalamiko ya wahuni na wajanja wajanja viongozi kutaka kuiba fedha za walipa kodi na kujitengenezea biashara zao kupitia malamiko haya, na endapo yupo aliyeporwa, maana yake, Yuki huru kwenda mahakamani, Kwa jinsi hii tarifa zinapokuja tu eti walalamikaji wa kuilalamikia serikali kuwa waporwa walipwe fedha zao, ni uhujumu uchumi wa aina ya kiuhuni kabisa!
Kuna kiongozi Mkubwa pia aliwahi kuilalamikia serikali kuwa alitekwa na serikali, kumbe alikuwa kanywa gongo huko ikathibitika hivyo, Je, sasa, serikali kama inaamua kudili na malalamiko hewa haya yasiyothibitka mahakamani, haitalipa mapateli kama yule kiongozi alyesingizia serikali kumteka kumbe alilewa.?
Ni Nani kaporwa fedha zake na serikali? Je, kuna madai popote kwenye mahakamani zetu?
Je, alienda kuishitaki serikali na mahakama ikadhibitisha uporaji huo?
Nchi hii ni ya wote, na wajinga wameendelea kubaki wale wale wafoji vyeti, ila Kwa sasa ni vigumu kuwahadaa watanzania
Salamu Tanzania
Kwa kifupi tu ni kuwa wewe ni mwehuWewe taahira unaeishi kwa kutegemea posho na salary kwa Kodi na jasho la wengine utajua Nini hata biashara huna?
Ukiwa nazo ni zile zinategemea mgongo wa Serikali.
Kauli zako mbona inaonekana hupo timamu? Huwezi kuchangia mjadala kwa hoja thabiti? Kutukana ni dalili ya kupungukiwa akili. Punguani na vichaa, chunguza mwenyewe, jambo pekee ambalo pamoja na kupoteza akili, huwa wanaweza, ni kutukana.Nenda mahakamani, na sio serikali ishughurikie malalamiko hewa
Nyambafu, simama kwenye hoja fisi wewe!
Sidhani kuwa huku Serikalini kote hakuna wenye akili, yaani waamue tu kuwa tuwarudishie pesa zao.Unadhani mkuu, malalamiko tu ya mtu yeyote yatoshe kulipwa fidia?
Embu fikiri kwa upya
Paulsylvester, tuanze na hili;Serikali ikianza kulipa tu fidia kwa sabb kuna watu wamelalamika kuporwa na serikali hiyo, bila mlalamikaji kwenda mahakamani na mahakama ikajiridhisha, huo ni ufisadi tuu hakuna jina lingine zaidi ya hilo