Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Hakuna Mganga anayetengeneza pesa wala jini anayetengeneza pesa bali pesa zinatoka benk kuu(BOT).
Kinachofanyika ni kuvuta pesa za wafia dini wanaoamini asili ni shirk.
Hivyo roho mbalimbali zinatumika katika zoezi hili.
Ukikuta umepata mkopo wa milioni kumi au zaidi au chini ya hapo na ukafungua biashara kwa kukurupuka bila kuwasiliana na wakushi basi utafirisika ndani ya muda mfupi 😅😅😅
Kinachofanyika ni kuvuta pesa za wafia dini wanaoamini asili ni shirk.
Hivyo roho mbalimbali zinatumika katika zoezi hili.
Ukikuta umepata mkopo wa milioni kumi au zaidi au chini ya hapo na ukafungua biashara kwa kukurupuka bila kuwasiliana na wakushi basi utafirisika ndani ya muda mfupi 😅😅😅