Mnaweza mkaniua kwa kunisema,sawa nina shape ya mnazi ilia nami nataka kupendwa mie
Mimi naitwa John Bumija,nasikitika kwa kumkosa mchumba kisa picha hazivutii,ndivyo nlivyoumbwa siwezi kujipiga rangi,nlizani mtanishauri kumbe ndo matusi,ntapeleka ombi langu kwa Mungu,mwanadamu hana msada