Aliyeanzisha uzi wa kilofa kama huu1. Mama/baba aliyepokea kodi ya nyumba
2. Mfanyakazi wa taasisi/wizara ya serikali amepokea mshahara
3. Madalali/watu wa kati/wapiga dili kama issue imepiga tick
4. Mtu amepandishwa cheo
5. Ndezi/domo zege ameng'oa demu
6. Machinga ameuza sana kwa siku
7. Ametoka kwenye mafunzo ya JKT
8. Amevaa kaunda suit (ukiwa challenge huwa wanauliza " unajua mimi ni nani?" Au hujitambulisha "Mimi ni usalama wa Taifa")
Unaweza kuongezea list hapo chini....
[emoji23][emoji23][emoji23] HaaahhWale wanaolipa 300 wanageuka na gari kuwahi Siti