Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
ayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..
Hahaha...... Nimecheka kihutu mie...
PIGA SPANA TUNDU LISSU mwendo mdundo mpaka ikulu....
Kha!,kha!,kha!,mkuu umenivunja mbavu balaa.Unyonge sio sifa njema. Mimi sio mnyonge, mnyonge labda wewe na familia yako.
Ndivyo unavyojidanganya?.Machinga wametulia wanafanya kazi kwasababu ya JPM. Hakuna lugha nyingine mtu atasema na machinga wakamuelewa.
Mkuu umenenaKwa sasa hata miongoni mwa wanaCCM wenye akili nzuri wanajua wazi Lissu ndio mwamba wa kweli katika siasa za Tanzania, akifanikiwa kumkalisha chini Magu na wao pia wataneemeka.
Maana wao pia wamechoka kupelekeshwa kama magunia ya mahindi yaliyojazwa kwenye lori linaloendeshwa ovyo ovyo na dereva mwenye ukichaa.
Sio CCM wenye akili nzuri tu,bali hata ambao hawana,wanapata nuru kwenye akili zao.Huu uchaguzi 'bab kubwa'Kwa sasa hata miongoni mwa wanaCCM wenye akili nzuri wanajua wazi Lissu ndio mwamba wa kweli katika siasa za Tanzania, akifanikiwa kumkalisha chini Magu na wao pia wataneemeka.
Maana wao pia wamechoka kupelekeshwa kama magunia ya mahindi yaliyojazwa kwenye lori linaloendeshwa ovyo ovyo na dereva mwenye ukichaa.
Viva chato....Viva Magu 2020 to 2030