Hakuna mvuta sigara asiefanya hivi...

Hakuna mvuta sigara asiefanya hivi...

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
HabarI zenu ndugu zangu.

Katika utafiti wangu nimegundua kwamba wavuta sigara wana tabia kadhaa zinazofanana. Kati ya tabia hizo.
  • Ni ile ya kuvuta sigara kila baada ya kula,
  • Lakini kubwa zaidi ni ile ya kuhakikisha mvuta sigara hawezi kuingia toilet bila sigara mdomoni, tena hii ni kwa watu wote dunia nzima...awe mzungu, mchina, mwarabu, muhindi au mbantu.
Je kwa wenye kujua hii ya kuingia na sigara sehemu chafu kama toilet inatokana na nini? Mvutaji huwa haoni kinyaa kimeza moshi mahali hapo?

Au ni moja kati ya starehe za kilevi hicho? Mimi pamoja na ujanja wangu wote sijawahi kutumia huu mzizi.

Karibuni ndugu.

1623834844103.png
 
HabarI zenu ndugu zangu.

Katika utafiti wangu nimegundua kwamba wavuta sigara wana tabia kadhaa zinazofanana. Kati ya tabia hizo.
  • Ni ile ya kuvuta sigara kila baada ya kula,
  • Lakini kubwa zaidi ni ile ya kuhakikisha mvuta sigara hawezi kuingia toilet bila sigara mdomoni, tena hii ni kwa watu wote dunia nzima...awe mzungu, mchina, mwarabu, muhindi au mbantu.
Je kwa wenye kujua hii ya kuingia na sigara sehemu chafu kama toilet inatokana na nini? Mvutaji huwa haoni kinyaa kimeza moshi mahali hapo?

Au ni moja kati ya starehe za kilevi hicho? Mimi pamoja na ujanja wangu wote sijawahi kutumia huu mzizi.

Karibuni ndugu.

Unaweza ukatuambia mazingira unayoishi na unayofanyia kazi?
Unaingiaje na sigara kwenye choo cha ofisini au nyumbani?
Hiyo "duniani kote" yako ipoje? Inaanzia na kuishia wapi? Inahusika na maeneo yapi?
 
Unaweza ukatuambia mazingira unayoishi na unayofanyia kazi?
Unaingiaje na sigara kwenye choo cha ofisini au nyumbani?
Hiyo "duniani kote" tako ipoje? Inaanzia na kuishia wapi? Inahusika na maeneo yapi?
Mkuu bila shaka ww sio mvutaji au haujawahi kuwa karibu na wavutaji. Fanya uchunguzi utagundua wavutaji huwa wana tabia ya kuingia toilet na sigara, haijalishi ni nyumban au ofisini.
 
HabarI zenu ndugu zangu.

Katika utafiti wangu nimegundua kwamba wavuta sigara wana tabia kadhaa zinazofanana. Kati ya tabia hizo.
  • Ni ile ya kuvuta sigara kila baada ya kula,
  • Lakini kubwa zaidi ni ile ya kuhakikisha mvuta sigara hawezi kuingia toilet bila sigara mdomoni, tena hii ni kwa watu wote dunia nzima...awe mzungu, mchina, mwarabu, muhindi au mbantu.
Je kwa wenye kujua hii ya kuingia na sigara sehemu chafu kama toilet inatokana na nini? Mvutaji huwa haoni kinyaa kimeza moshi mahali hapo?

Au ni moja kati ya starehe za kilevi hicho? Mimi pamoja na ujanja wangu wote sijawahi kutumia huu mzizi.

Karibuni ndugu.

Are you one of them? You know alot about sigara. Acha kuvuta sigara, inawezekana!
 
HabarI zenu ndugu zangu.

Katika utafiti wangu nimegundua kwamba wavuta sigara wana tabia kadhaa zinazofanana. Kati ya tabia hizo.
  • Ni ile ya kuvuta sigara kila baada ya kula,
  • Lakini kubwa zaidi ni ile ya kuhakikisha mvuta sigara hawezi kuingia toilet bila sigara mdomoni, tena hii ni kwa watu wote dunia nzima...awe mzungu, mchina, mwarabu, muhindi au mbantu.
Je kwa wenye kujua hii ya kuingia na sigara sehemu chafu kama toilet inatokana na nini? Mvutaji huwa haoni kinyaa kimeza moshi mahali hapo?

Au ni moja kati ya starehe za kilevi hicho? Mimi pamoja na ujanja wangu wote sijawahi kutumia huu mzizi.

Karibuni ndugu.

Uliyoyaandika kuhusu sigara yote umekosea.
 
Kunywa pombe, Ni nadra sana kukutana na mvuta sigara ambaye hanywi pombe
 
Back
Top Bottom