Hakuna mwana JamiiForums siyetaka kumfahamu Gentamycine

Hakuna mwana JamiiForums siyetaka kumfahamu Gentamycine

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kiukweli huyu jamaa anamvuto flani hivi ambao huwezi kuuelezea. Namna yake ya uandishi na uwasilishaji wa anachokiamini huwavutia wengi.

Nadhani isingekuwa sheria za JF za kulinda faragha huyu jamaa ndio angekuwa the highly valuable asset kwa humu JF. Sifa yake ya pili anajua mambo mengi jambo mengine anatufungaga kamba.

Ila kama angekuwa tapeli pia angekuwa tapeli mzuri maana ile kujidai anavinasaba na tithi ya paka pia ni aina flan hivi ya kamba. All in all jamaa ni pure talented na game changer.

Juu ya yote ni mwana simba mwenzangu. GENTAMYCINE una akili ila upunguze upopoma na uongouongo.
 
Kiukweli huyu jamaa anamvuto flani hivi ambao huwezi kuuelezea. Namna yake ya uandishi na uwasilishaji wa anachokiamini huwavutia wengi. Nadhani isingekuwa sheria za jf za kulinda faragha huyu jamaa ndio angekuwa the highly valuable asset kwa humu jf. Sifa yake ya pili anajua mambo mengi jambo mengine anatufungaga kamba. Ila kama angekuwa tapeli pia angekuwa tapeli mzuri maana ile kujidai anavinasaba na tithi ya paka pia ni aina flan hivi ya kamba. All in all jamaa ni pure talented na game changer.Juu ya yote ni mwana simba mwenzangu. GENTAMYCINE una akili ila upunguze upopoma na uongouongo.
Mimi namashaka na jinsia yako
 
Kuwa MwanamSimbazi mwenzangu tupo sawa

Ila kuhusu utaifa sipo pamoja nae
 
Hii ni hatari mwanaume kuweka picha ya makalio... Unachochea Nini hasa ?
 
Kiukweli huyu jamaa anamvuto flani hivi ambao huwezi kuuelezea. Namna yake ya uandishi na uwasilishaji wa anachokiamini huwavutia wengi. Nadhani isingekuwa sheria za jf za kulinda faragha huyu jamaa ndio angekuwa the highly valuable asset kwa humu jf. Sifa yake ya pili anajua mambo mengi jambo mengine anatufungaga kamba. Ila kama angekuwa tapeli pia angekuwa tapeli mzuri maana ile kujidai anavinasaba na tithi ya paka pia ni aina flan hivi ya kamba. All in all jamaa ni pure talented na game changer.Juu ya yote ni mwana simba mwenzangu. GENTAMYCINE una akili ila upunguze upopoma na uongouongo.
Wenye asili ya uanawake wanawake ndio wangependa kumfahamu. Lakini mimi sina mpango na sijawahi hata kumfikiria. Wala sijawahi kuona chochote cha kunivutia anachopost. Utasema labda namuonea wivu,lakini wewe niambie ni post gani ya maana kutoka kwake yenye mvuto?.
Ungeniambia yule mwamba mwenye story za South na yule mpambanaji mpaka DRC,japo nao sina mpango wa kuwafahamu.
Mtoa mada kama uko dar mtafute tu. Maana nasikia dar wanaume wamebakia wachache. Wengine wana majina makubwa,wengine sauti nzito kabisa ya zege lakini ndio hivyo.
Kama wewe hapo,japo sina uhakika na jinsia yako,ila kama jina kubwa super bag . Kama wewe ni ME,basi ni wale bahati mbaya. Unamsifia mwanaume mwenzio?
 
Utakuja kuolewa, kila siku kumzunguzia mtu mmoja sio vibaya ila kama uchawa umepitiliza na hii ni mbaya haswa ukiwa mtoto wa kiume maana hii ni dalili ya kuwa na element fulani ukijumuisha na avatar yako ..
 
Jf is for funny ondoeni msongo wa mawazo kumsifia mtu sio jambo baya binafsi namkubali sana genta wala sioni vibaya kusema hivyo.
 
Back
Top Bottom