F Future president Senior Member Joined Dec 30, 2013 Posts 144 Reaction score 39 Feb 2, 2014 #1 Mh rais, katika maadhimisho ya chama chake ameisemea chadema kwamba wapo wanachadema wanapenda serikali 2,hilo sina hakika nalo,ila ni kuraghai watu,semea chama chako mheshimiwa
Mh rais, katika maadhimisho ya chama chake ameisemea chadema kwamba wapo wanachadema wanapenda serikali 2,hilo sina hakika nalo,ila ni kuraghai watu,semea chama chako mheshimiwa
Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,455 Reaction score 73,145 Feb 2, 2014 #2 Watoto wa mjini wanasema pale kachapia. Naona sasa na mwenyekiti naye ashapatwa na ugonjwa wa "Chadema"
Watoto wa mjini wanasema pale kachapia. Naona sasa na mwenyekiti naye ashapatwa na ugonjwa wa "Chadema"