Hakuna mwanamke wa kukataa kutoa Tigo

Nonsense!
 
Mkuu umeona ukisalia na dhambi zako utakosa wa kuhukumiwa nao pamoja?
Hapa ni kama ulikuwa unafundisha kupitia uzoefu wako.
Mkuu baadae kutakuwa na madhara makubwa ya kiafya, wazungu huwa hawaenezi kitu pasipo na faida baadae bila kujali itachukua muda gani.
Baada ya watu kukolea ktk hilo, wanaleta kaugonjwa husika eneo husika huku dawa/chanjo washaziandaa.
Kinachofuata hapo ni watu kuugua na kufa kisha serikali kulazimishwa kusaini mikataba ya siri ya kuuza kwa bei za kutupa rasilimali za nchi kwa wakoloni wapya kuokoa raia wake. Kuna watakaonielewa.
 
Mtoa mada yupo sawa ila ameongeza madoeido mengi kwenye uzi wake mwisho wasiku maudhui yamada yake yamebadilika naimegeuka kuwa uzi wakuwadharirisha mama/shangaz nadada zetu not fear
 
Si kweli Kuwa Hawapo. Wapo wasiopenda huo upuuz kama wewe unavyojinasibu Kuwa hupendi. Au unabisha basi nawe muongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…