Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna cha shule ya wenye vipaji maalumu,sipo tayari kuangamiza ubongo wa watoto kisa shule uchwara za serikali,nataka watoto wangu wapate ufahamu sahihi hata kama wana div3
kuna shule zinatoa best education with very affordable fee,sema watu hamtaki kufatilia,mfano shule niliyosoma haina ada kubwa pamoja na kung'aa muda mrefu,mpaka sasa ada ya boarding haifiki 700,000 kwa mwaka form one to form six.unasema hivyo kwakuwa una shilingi, ukiyumba kiuchumi utabadili usemi
kuna shule zinatoa best education with very affordable fee,sema watu hamtaki kufatilia,mfano shule niliyosoma haina ada kubwa pamoja na kung'aa muda mrefu,mpaka sasa ada ya boarding haifiki 700,000 kwa mwaka form one to form six.
huko nitakapompeleka div 4 ni msamiati,wanafunzi hawaelewi,na kwa madaraja haya mapya div 3 ndo vilaza pale,wengi One na two,tofauti ya mwanafunzi wa private ni kubwa ukimlinganisha na wa serikali hata kama wanalingana matokeo kuangalia uelewa waoDiv iV ya 43 ina-apply hata uko utakapompeleka unless ni international school or Nje ya Tanzania.
Shule gani hiyo?
inawezekana hukupenda,lakini wazazi wengi wanaleta mzaha kwenye elimu,wanaendekeza starehe kuliko elimu ya watoto,wengine hawaelewi elimu sahihi kwa watoto wao pamoja na kuwa na uwezoWewe unadhani siye wengine tunaosemesha shule za kata tulipenda?
mpaka sasa kuna wadogo zangu wawili pale,form six na form three,ada ndo hiyo current,mimi nilisoma hapo na kumaliza in mid 2000s na ada ya boarding ilikuwa 300000 mpaka 2006Muulize Ada ya mwaka gani hiyo?usikute unaongea na mtoto hapa anakenga maghorofa hewani
kama unataka shule ile kwa lengo la kupeleka mtoto naweza kukutumia inbox,utaangalia matokeo mwenyewe,utaingia website yao,kuhakiki ada zao
hakuna cha shule ya wenye vipaji maalumu,sipo tayari kuangamiza ubongo wa watoto kisa shule uchwara za serikali,nataka watoto wangu wapate ufahamu sahihi hata kama wana div3
huko nitakapompeleka div 4 ni msamiati,wanafunzi hawaelewi,na kwa madaraja haya mapya div 3 ndo vilaza pale,wengi One na two,tofauti ya mwanafunzi wa private ni kubwa ukimlinganisha na wa serikali hata kama wanalingana matokeo kuangalia uelewa wao
Muulize Ada ya mwaka gani hiyo?usikute unaongea na mtoto hapa anakenga maghorofa hewani