๐๐๐๐Nimecheka kifala kwerWezi waonee huruma mkuu, wanapitia mengi, na magari yenyewe haya km za kutosha?, mengine mmiliki alishawaza aligongeshe alipwe insurance halafu mwizi unajaa nalo, unategemea nini?
๐๐๐๐๐Haya magari yanakula nauli kinomaGari lenyewe hili hapaaView attachment 2991657
Watu bhn๐๐๐Mkuu hiyo gari ina abiria ndani?
Sasa kasema tu gari imeibiwa. Hajasema kama inakuwa na abiria au mizigo!Watu bhn๐๐๐
HahahaaaNa magari nayo wakati mwingine hayana huruma kwa wezi, unakuta gari lishajichokea miball joint imekata imelegea no spring halafu ukiwa na mispeed yako sterling inakazia upande mmoja kwenye mautelezi, ukipona unabaki na jeraha la kumbukumbu unajuta kwanini ulihangaika na gari used na mapya yamejaa yard.
Kabisa mkuu.Hahahaaa
Mapya ya afu mbili yamejaa yard kabisa
๐๐๐๐mwizi aonewe huruma kwa kujitwika chuma chakavu kinachotembeaWezi waonee huruma mkuu, wanapitia mengi, na magari yenyewe haya km za kutosha?, mengine mmiliki alishawaza aligongeshe alipwe insurance halafu mwizi unajaa nalo, unategemea nini?
Na sisi ambao si wapenzi wa Insta tumesogezewa hapaHii habari Mara ya Kwanza niliiona huko Instagram juzikati.
Unaambiwa gari la kuibwa litapigishwa round za kutosha ulikute chakavu limejichokea halifai kbsa[emoji23]
Neno gari la wizi lizingatiwe ๐ค๐คHii habari Mara ya Kwanza niliiona huko Instagram juzikati.
Unaambiwa gari la kuibwa litapigishwa round za kutosha ulikute chakavu limejichokea halifai kbsa๐