martinezmarty
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 318
- 508
Tangu akiwa mchezaji mpiraUmeanza kumjua tangu lini?
Tuanzie hapo kwanza
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ww jamaa toka lin verati akacheza namba 6 na adrein rabiot anacheza mamba ngapi alfu huwezi huwa compare hao watu Mara nagpi national team Italy wamekuwa defeated na sapain ya busquest?Wewe unamjua Marco Verratti kwel?
Kwamba unataka kusema Marco Verratti ni Bora kuliko Busquets?Tangu akiwa mchezaji mpira
Kumuulizia tu sergio busqet pale baca wanaweza kukuambia hatuna mchezaj kama huyo.... Baca kumwachia sergio ni ndoto za mchana sa 8 na jua kali linawaka [emoji274]Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.
Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.
Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.
Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.
Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumuulizia tu sergio busqet pale baca wanaweza kukuambia hatuna mchezaj kama huyo.... Baca kumwachia sergio ni ndoto za mchana sa 8 na jua kali linawaka [emoji274]
la liga,si unaona msichana mwenzake kaenda kucheza ligi ya wanaume kule chelsea akalalamika ligi ngumu!Ligi ya wasichana ipi uefa,laliga,au word cup,maana makombe hayo yote anayo
Wewe ndo hujui kabisaaaWw jamaa hata akili huna toka lin verati akacheza namba 6 na adrein rabiot anacheza mamba ngapi alfu huwezi huwa compare hao watu Mara nagpi national team Italy wamekuwa defeated na sapain ya busquest?
Cjui nn ikiwa unajifunga funga wenyewe hapa tunaongelea natural namba 6 sio kilaka kama verati wako huyoWewe ndo hujui kabisaaa
Kocha akimchezesha thiago motta,verratti anacheza 6 kama akimchezesha adrien rabiot verratti anacheza 8
Acha masihara 35 wakati pep aliweka 50 zikakataliwa au unafikir Sergio ni kma carric cio?
FactKumuulizia tu sergio busqet pale baca wanaweza kukuambia hatuna mchezaj kama huyo.... Baca kumwachia sergio ni ndoto za mchana sa 8 na jua kali linawaka [emoji274]
Sina idea hata unamaaanisha nn?la liga,si unaona msichana mwenzake kaenda kucheza ligi ya wanaume kule chelsea akalalamika ligi ngumu!
Ligi hiyo unayoi - describe kuwa ni ya wasichana ndio hiyo hiyo inayotawala Uefa Champions League pamoja Europa League.la liga,si unaona msichana mwenzake kaenda kucheza ligi ya wanaume kule chelsea akalalamika ligi ngumu!
Ni uamuzi wa kocha kuamua kumchezesha no ambayo anaona inafit na mfumo wake na pia aina ya wachezaji alionayo, ndio maana kocha wa italy national team analalamika kwa nini verratti akiwa psg anachezeshwa 6 wakati ni best playmaker (8)Cjui nn ikiwa unajifunga funga wenyewe hapa tunaongelea natural namba 6 sio kilaka kama verati wako huyo
Duh.carrick uefa ngapi final ngapi ameonekana ni kilaza kwa Sergio au 2009 na 2011 ulikuwa bado mttoBora ungemtaja mtu mwingine Carrick? Umekula maharage ya wapi wewe? Uingereza nzima hakuna kama Carrick
Mkuu kwa kweli unajifunga funga,Ni uamuzi wa kocha kuamua kumchezesha no ambayo anaona inafit na mfumo wake na pia aina ya wachezaji alionayo, ndio maana kocha wa italy national team analalamika kwa nini verratti akiwa psg anachezeshwa 6 wakati ni best playmaker (8)
Iv umeelewa topic inataka nin au unaandika usichokijua nakuomba usome heading Alf ndyo uje umtaje verati wakoNi uamuzi wa kocha kuamua kumchezesha no ambayo anaona inafit na mfumo wake na pia aina ya wachezaji alionayo, ndio maana kocha wa italy national team analalamika kwa nini verratti akiwa psg anachezeshwa 6 wakati ni best playmaker (8)
Uzi hauja andikwa natural no 6Mkuu kwa kweli unajifunga funga,
Kwa statement yako ni kwamba Verratti ni Natural #8
na hapa tunaongelea Natural #6,
See you.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Sasa kwani Busquets ni namba ngapi Kaka,Uzi hauja andikwa natural no 6
Hyo ni kwa wewe ulivyoelewa
Duh..bakayako na casemiro mwaka huu wote wamekutana na huyo jamaa na timu zao zilichapwa tena kama casemiro ndyo hana ata vision ya nn anatakiwa kukifanya uwanjan ndyo maana el clasico alitolewa kuepuka adhabuTunahitaji damu changa wajifunze kutoka kwa buscet na caricck
Ila kante bakayoko casemiro ni namba zingine dunia ya sasa
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app