Hakuna namba 6 kama Sergio Busqet!!

Duh..bakayako na casemiro mwaka huu wote wamekutana na huyo jamaa na timu zao zilichapwa tena kama casemiro ndyo hana ata vision ya nn anatakiwa kukifanya uwanjan ndyo maana el clasico alitolewa kuepuka adhabu
Umenena Vyema.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Umewahi kumuona akicheza soka lake nje ya Barcelona na timu ya Taifa ya Spain?
Tuanzie hapo kwanza.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Hapana, ila mifano ipo mingi tu ya wachezaji waliotoka Spain wakakutana na formation tofauti na walioizoea tukaona jinsi wanavyo struggle na kuona si kitu, kumbuka Pedro msimu wake wa kwanza Chelsea.
 
Pole mzee unamaind bure tu jamaa kakujibu vizuri buscet kiungo
Tambwe mfungaji

WApI nA WaPI

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Sasa ulitarajia xavi angemponda mchezaji mwenzake??

Tofauti na barca na spain sergio amechezea timu gani??
Kaka, we ulitaka Busquets aende kucheza wapi hasa,
Au ndo zile hoja kwamba kama yeye ni Bora aende aka-prove kwenye timu nyingine?
He doesn't have to prove himself to anyone.
The guy is the Beast.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Cwez kukujibu swali La kitoto kama hilo nan? Asiyejua ubora wa inesta je nae amecheza timu gan tofaut na hzo jibu swali na ww?
Unapoulizwa swali unajibu swali kwanza ndio unauliza! Bado hujajibu swali!!
 
Bado hujajibu swali mkuu!! Jibu swali acha maneno mengi!
 
tofautisha ligi na timu,nakukumbusha tu kwamba 2010 messi alisema tuzo anastahiki iniesta,wanajitahidi sana kutaka kui-potray epl kama ligi dhaifu lakini ndo ligi inayonunuliwa kwa 180k kwa mwezi,wakati la liga unaipata kwa 15k azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…