putinelimusu
Senior Member
- Aug 26, 2016
- 180
- 169
yes my boy!?Casemiro ndio 6 bora duniani kwa sasa.anakaba,anaassist na kufunga mabao.
Msimu uliopita kaifunga Barcelona, juventus na Napoli 16 bora
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
hawezi kuwajua hao akamtaja bosquetUnamjua Claudio Makelele?
Captain Dunga?
Baada ya Pep kuondoka Barca Busquet kiwango kimeshuka,baada ya Xavi na Alonso kustaafu Busquet amekuwa mchezaji wa kawaidaKucheza kwao hao kulikuwa kuna mtegemea yeye cio yeye kuwategemea wao
Tangu Pep ameondoka Barca hajawahi kutaka kusajili mchezaji wa Barca ukiacha Thiago ambaye Barca walishindwa kutimiza masharti ya release clause yakeItakuwa ww huwa unafuatilia transfer news kwa kuangilia source za magazeti ya shigongo
Ukitaka turudi nyuma walikuwepo kina Redondo,Makelele,Gattuso,Keane,Vieira,Davids.Busquet alikuwa the best no 6 enzi Pep anafundisha Barcelona sio mwaka huu.Uliona alivyokimbizwa na kina Verrati/Rabiot/MatuidiKisa ww umeanza kuangalia mpira 2017 ndyo unataka tuongelee mambo ya mwaka husika?
Kumbe unamshabikia bosquet kisa kasifiwa na kina del bosque? Bas nenda kaangalie namba 6 ya mhuni wa kiargentina aitwae JAVIER MASCHERANO enzi anakipiga na majogoo wa Anfield, af ukitoka hapo pitia kwa mhuni anaitwa PATRICE VIEIRA. Huyo bosquet kwa tim nyingine angefaa kucheza namba 8Vicent del busque aliongeaga fact kumuhusu huyu jamaa
Leo unaikataa timu yako pendwa cio
Bila kumsahau alonso!! Kiungo makini kabisa!!Kumbe unamshabikia bosquet kisa kasifiwa na kina del bosque? Bas nenda kaangalie namba 6 ya mhuni wa kiargentina aitwae JAVIER MASCHERANO enzi anakipiga na majogoo wa Anfield, af ukitoka hapo pitia kwa mhuni anaitwa PATRICE VIEIRA. Huyo bosquet kwa tim nyingine angefaa kucheza namba 8
Sent from koromije using bashite
Ubingwa wa Barca recently umechangiwa na brilliance form ya MSN ndio walikuwa wanaibeba timu tofauti na ile timu ya Pep ambayo ilikuwa ina-control mechi kwenye kiungo kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchezo.I hope uliangalia ile timu ambayo ilimfunga United fainali 2 na kumfunga Mourinho alivyokuwa Real MadridNimeona kiwango cha Busqet walivyochukua Uefa na La Liga mfululizo
Ubingwa wa Barca recently umechangiwa na brilliance form ya MSN ndio walikuwa wanaibeba timu tofauti na ile timu ya Pep ambayo ilikuwa ina-control mechi kwenye kiungo kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchezo.I hope uliangalia ile timu ambayo ilimfunga United fainali 2 na kumfunga Mourinho alivyokuwa Real Madrid
Lakn elclasico anapiga pass za kutosha na kumpoteza casimero wenuBaada ya Pep kuondoka Barca Busquet kiwango kimeshuka,baada ya Xavi na Alonso kustaafu Busquet amekuwa mchezaji wa kawaida
Wote uliowataja wanataman kuwa kama yeyeUkitaka turudi nyuma walikuwepo kina Redondo,Makelele,Gattuso,Keane,Vieira,Davids.Busquet alikuwa the best no 6 enzi Pep anafundisha Barcelona sio mwaka huu.Uliona alivyokimbizwa na kina Verrati/Rabiot/Matuidi
Kukosekana kwa busquet game ya juve ya kwanza kulimfanya mascherano achezeshwe kiongo na aliboronga vibaya sanaKumbe unamshabikia bosquet kisa kasifiwa na kina del bosque? Bas nenda kaangalie namba 6 ya mhuni wa kiargentina aitwae JAVIER MASCHERANO enzi anakipiga na majogoo wa Anfield, af ukitoka hapo pitia kwa mhuni anaitwa PATRICE VIEIRA. Huyo bosquet kwa tim nyingine angefaa kucheza namba 8
Sent from koromije using bashite
Kumbe ndyo maana ukataka kumlinganisha carric ambaye kiwango chake kpo kama himid Mao ukataka kumlinganisha na sergioMimi shetwaini mwekundu. Madrid siishabikiiii hata kidogo.
Alonso amepotezwa Mara ngapi na Sergio jibu swali pleaseBila kumsahau alonso!! Kiungo makini kabisa!!
Umekalili maneno ya kwenye vijiwe vya kahawaKweli anajua ila kwa huku epl Itakuwa ngumu kwakee
Sent from my Infinix-X600-LTE using JamiiForums mobile app
Pedro Huyo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]la liga,si unaona msichana mwenzake kaenda kucheza ligi ya wanaume kule chelsea akalalamika ligi ngumu!
Waambie kakaSergio sio wa kufananishwa na hawa watoto tunamvunjia heshima yake.Matic sio wa kumfananisha nae, kande anakimbia kimbia tu kama digidigi..sergio ni mtu mwingine.ni ngumu sana kwa mtu asiejua soka kumwona sergio uwanjani kama huja kariri number ya jez.hata mke wake aliwahi sema hapendi kuangalia game za barca kwakuwa hamuoni Mme wake uwanjani..hivyo hawa wanaobisha yawezekana hawajui mpira kama mpenzi Busquet ..hawamwoni akiwa uwanjani.
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app