scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 926
Nimetatizika sana kila nikiwaza neno hili kiasi kwamba nikahisi nitafanyanya ubaguzi! Ila nimekuja kuelewa kuwa tanganyika ilikuwa ni jina la watu wa bara wadhaifu dhaifu kiuchumi na wasio weza kujitegemea kiulinzi wenye hulka za uvivu ...kutengeneza TaNZANIA ILI leta hamasa nyingi sana kwa viongozi wa nchi zetu mbili kwani mapito mengi ya kisiasa ya metokea na hata kupata hESHIMA KUBWA KWA WATU WA AFRIKA ....WATANZANIA WENZANGU TUSIKUBALIANE NA WATU WACHACHE WANAOJiita waTANGANYIKA KWANI HAUTAKII MWEMA ULE MCHANGA ULIoCHANGANYWA NA WALE WAZEE WETU...KAMA MTU ANAUJANJA HEBU KAUTAFUTE UULETE THEN NDIO UJIITE WEWE MTANGANYIKA..! NAwasiLIshA.