Hakuna neno la kiswahili linaloweza kuwa na maana bila ya kuwa na irabu

... irabu ndizo herufi za sauti; bila irabu sauti haitoki katika lugha ya Kiswahili. Wakati irabu inaweza kutamkika yenyewe, herufi nyingine zote lazima ziambatane na irabu ili zitamkike; mf. (Bb) ba, be, bi, bo, bu; n.k. Hivyo, kwa usahihi zaidi mada yako ilitakiwa isomeke, "Hakuna neno la Kiswahili linalotamkika bila kuwa na irabu".
 
Asante kwa nyongeza japo title ni kama imejitosheleza na ina maana ikiyo kamilika.
 
Na sku hizi mwenye kiswahili kuna konsonanti "x"
Mf. Xhem, xaxa, xjui
BASAT sjui BAKITA mliangalie na hili pia.
X na Q zingetolewa tu kwenye herufi za kiswahili kama waarabu walivyoiondoa P kutokana na kukosa matumizi kwenye lugha yao.
 
Sio adimu, bali hakuna kabisa
X-ray. ..... x wangu, ... xsirani..... xy krosomu!..... silabi ya x tunaitamka ivivo!! ....x na y grafu! yaani ziko nyoingi sema tu nyie ni vihio wa kutupwa!
 
X-ray. ..... x wangu, ... xsirani..... xy krosomu!..... silabi ya x tunaitamka ivivo!! ....x na y grafu! yaani ziko nyoingi sema tu nyie ni vihio wa kutupwa!
X-RAYS ni kiswahili?
X wangu hio "x" inamaana gani kwenye kiswahili?
xsirani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii ndio nini au kisirani?
 
X-RAYS ni kiswahili?
X wangu hio "x" inamaana gani kwenye kiswahili?
xsirani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii ndio nini au kisirani?
Lugha yeyote ina uhai!! kwa kuwa inazaliwa, inaishi, inakua na inakufa!! kiyahudi alichozungumza Yesu kimekufa!! hawa wa leo wanaongea kigiriki!
 
Hapa utakuwa umetumia mtaala wa Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ