Kwani bado baridi haijaisha pande hizo?
Anyway! Kwa kuwa kuna vyoo visivyotumia maji, naamini hata kupiga inawezekana.
Hili wazo akilinasa Bilgate, analitabgazia Dau, na vijana wanazama lab na kuibuka na mtambo
Kuna kabila huwa wanasaga mawe flani hivi mekundu wanakuwa wanajipaka km mafuta, badala ya kuoga, kikwetu yanaitwa mawe a nyawa. Ama kwetu wanajipakaga samli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.