Hakuna njia nyingine kuoga bila maji??

Hakuna njia nyingine kuoga bila maji??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
As per attached pls help m
 

Attachments

  • 1723021872925.jpg
    1723021872925.jpg
    110.8 KB · Views: 4
Kwani bado baridi haijaisha pande hizo?
Anyway! Kwa kuwa kuna vyoo visivyotumia maji, naamini hata kupiga inawezekana.
Hili wazo akilinasa Bilgate, analitabgazia Dau, na vijana wanazama lab na kuibuka na mtambo
 
Kuna kabila huwa wanasaga mawe flani hivi mekundu wanakuwa wanajipaka km mafuta, badala ya kuoga, kikwetu yanaitwa mawe a nyawa. Ama kwetu wanajipakaga samli
 
Back
Top Bottom