Kenya hawajapata mshahara so Bora yenu watanzania.
Pia waza ulivyosote hiyo kazi mpaka ukaipata ama una uhakika nafasi yako ikawekwa wazi Ni wangapi watakaiomba na kuijaza na kuitendea haki smt zaidi na wewe unayewaza pdm tu huwazi kutelekeza majukumu yako.
Uzuri serikalini watakulipa hata ukiwa kaburini stahiki zako zote.
Am sorry Kama nitakuwa nimeenda kinyume na your beliefs Ni kawaida smt kuzinguana ama kuwa na mtizamo hasi na wako ndio maisha yalivyo ama nakuwa huru kuwaza navyowaza