KERO Hakuna shirika la ovyo kama TANESCO. Unatumiwa control namba huwezi kulipia iwe kwa simu au kwa wakala

KERO Hakuna shirika la ovyo kama TANESCO. Unatumiwa control namba huwezi kulipia iwe kwa simu au kwa wakala

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Hivi kama shirika ambalo liko chini ya naibu waziri mkuu iko hivi nani ataogopwa nchi hiii. Nilitaka kulipia kuunganishiwa umeme, nikajisajili, kufanyiwa survey na mwishowe nikatumiwa control namba kwa ajili ya kulipia km Tsh 697,000/=, wiki ya 3 sasa nimeshindwa kulipia, nilituma hela kutumia simu yangu kutumia AirtelMoney hela ikahang tu haiendi popote mpk nikaenda kuomba kurudishiwa.

Nimeenda kwa mawakala wamekataa wanasema inasumbua hakuna msg inarudishwa kwao km uthibitisho wa malipo. Ofisini kwao hawapokei malipo, Waziri wa nishati utuambie tutumie njia ipi.

Ingawa wasiwasi wangu ni kuwa Dotto Biteko hafuatilii malalamiko ya wananchi kupitia mitandao ya jamii. Waziri pekee anayefuatilia matatizo na kuyatatua kwa Wakati ni Dorothy Gwajima, yule mama hana makuu yuko na wananchi.
 
Hata mimi miezi miwili au mitatu nyuma nililipia control no kwa Tigo pesa mbona nilinyooka mpaka kuja kujua hela haikufika nishakubali
 
Wazee wa IT wanalishulikia tatizo

Ova
 
Control number nadhan ina kuwa valid kwa 14dys kama sijakosea, Kiongozi hyo pesa ni nyingi fanya kwenda office ya jirani waweze kukuhudumia.
Ahsante MUNGU, Niliweka umeme wa 27K.
R.I.P JPM
 
Ingawa wasiwasi wangu ni kuwa Dotto Biteko hafuatilii malalamiko ya wananchi kupitia mitandao ya jamii.
 
Control number nadhan ina kuwa valid kwa 14dys kama sijakosea, Kiongozi hyo pesa ni nyingi fanya kwenda office ya jirani waweze kukuhudumia.
Ahsante MUNGU, Niliweka umeme wa 27K.
R.I.P JPM
Umemaliza kila kitu ila ajabu anaweza kukubishia.
 
Back
Top Bottom