Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Ukifahamu kwamba Shida zako zinatokana na huo mjina ulojipachika basi utapona. Unashindwa kufahamu kwamba huu ni Utani? Ni lini wabongo mtaacha kujifanya walimu wa mambo ilhali umasikini umewatawala hata katika kope zenu???????
Naona povu limemtoka kweli [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu we umeninginia kwenye daladala,,, tena ulikua unamzid akili hapo Ndo utajua kwann gunia na dunia vinatofautiana neno moja
Lakn kumbuka nawewe kuna watu wanatamani wawe kama wewe

Mungu ni mwema sana hutoa kwa wakati kuwa mpole na mvumilivu mradi tu unajibidisha basi Mungu atakutimizia ndoto zako

Pia kudrive haikonkurud kuwa MTU ana Maisha mazuri
 
Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu we umeninginia kwenye daladala,,, tena ulikua unamzid akili hapo Ndo utajua kwann gunia na dunia vinatofautiana neno moja
GUNIA, DUNIA, tofauti ni herufi 1 na sio neno moja!
 
I think mfano utakuwa ni yule wazir wa ndoa mpaka vyeti. Maana mwanafunzi wake.. kampiga chin licha ya kumfanyia figisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…