RASHID ATHUMAN MSIRI
Member
- Apr 24, 2024
- 9
- 7
Kwa kiasi kikubwa haiwezi kupingika ya kuwa ili tuwe na Tanzania bora tunayohitaji lazima tuweke nguvu kubwa katika swala zima la malezi ya watoto na vijana kwani wao kwa kiasi kikubwa ndio wanaongoza katika suala zima la ujengaji wa nchi.
Kama Tanzania ili tuendelee kuwa na nchi nzuri na salama lazima kuwe na kizazi bora ambacho kitakuwa na watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili, kiafya na kimaadili ambao ndio watakuwa wajenga hoja sahihi na makini katika ujenzi wa nchi.
Malezi yana mchango mkubwa katika jamii yetu kwa sababu ukiwa na kizazi bora chenye malezi mazuri kitaweza kuilinda amani tuliyonayo na kupaisha uchumi wetu kwa sababu ukishindwa kulinda kizazi hiki cha sasa hapo ndipo utakapo jenga jamii mfu isiyokuwa na maadili watu watatawaliwa na rushwa, unyang'anyi, unyanyasaji wa kijinsia na mengine mengi ambayo yataweza kusababisha maafa kwa baade hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa mfano kukiwa na uongezeko la uhalifu itasababisha mgawanyiko na kuibuka kwa makundi mbalimbali ya ugaidi hali inayoweza kupelekea machafuko.
Kama Tanzania ili tuendelee kuwa na nchi nzuri na salama lazima kuwe na kizazi bora ambacho kitakuwa na watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili, kiafya na kimaadili ambao ndio watakuwa wajenga hoja sahihi na makini katika ujenzi wa nchi.
Malezi yana mchango mkubwa katika jamii yetu kwa sababu ukiwa na kizazi bora chenye malezi mazuri kitaweza kuilinda amani tuliyonayo na kupaisha uchumi wetu kwa sababu ukishindwa kulinda kizazi hiki cha sasa hapo ndipo utakapo jenga jamii mfu isiyokuwa na maadili watu watatawaliwa na rushwa, unyang'anyi, unyanyasaji wa kijinsia na mengine mengi ambayo yataweza kusababisha maafa kwa baade hali inayoweza kuhatarisha usalama wa taifa mfano kukiwa na uongezeko la uhalifu itasababisha mgawanyiko na kuibuka kwa makundi mbalimbali ya ugaidi hali inayoweza kupelekea machafuko.
Upvote
4