Mimi shabiki wa Yanga damu damu kabisa ila hii timu ya ruvu shooting ndo timu ambayo inanivutia zaidi na pendaga jinsi lilivyo jina lao tu naonaga limekaa kibingwa bingwa hivi tatizo uwezo tu ila na amini timu hii ingelikuwa na udhamini mzuri kama simba na yanga na fikiri kwasasa wangelikuwa mbali saana
Ila kwa ufupi kinacho ni vutia zaidi ni jina lao ruvu shooting.