Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu kwenye futbol ni wa kusamehewa[emoji1787] Hii ni mara ya tatu naongea [emoji188][emoji188]Mkuu mbona unasema statement ambazo common sense tu inasema haziwezekaniki
Yaani katika database ya mamilioni ya michezo hakuna timu ilishawahi kubadilisha kipa dakika za mwisho na kushinda mikwaju ya penati ?
I will go one over sio tu kubadilisha bali kipa kupewa red na timu ishafanya sub zote na hawana kipa wa ziada hivyo mchezaji wa ndani kuamia golini na bado ikashinda mikwaju
Siyo kubadilisha kwa kuumia , yanga wamemtoa Mshery wamemuingiza mdaka penatiMkuu mbona unasema statement ambazo common sense tu inasema haziwezekaniki
Yaani katika database ya mamilioni ya michezo hakuna timu ilishawahi kubadilisha kipa dakika za mwisho na kushinda mikwaju ya penati ?
I will go one over sio tu kubadilisha bali kipa kupewa red na timu ishafanya sub zote na hawana kipa wa ziada hivyo mchezaji wa ndani kuamia golini na bado ikashinda mikwaju
kwanini yalifanyika mabadiliko ? hoja yangu iko hapoUliona mechi ya Uefa supercup final kati ya Chelsea na Villarreal?
Yalikuwa mabadiliko late ili aingie Kepa kudaka penati hakuna sababu nyingine, Mendy hakuwa ameumia. Na kocha alirudia hiyo game plan dhidi ya Barnsley....Kepa ndio mdaka penati wa Chelsea, kuna hoja nyingine ? škwanini yalifanyika mabadiliko ? hoja yangu iko hapo
Yanga wawaogope vibonde?Huu ndio ujinga ambao wameufanya Yanga kwenye Mapinduzi cup dhidi ya Azam na imewagharimu .
Hata hivyo inadaiwa Yanga walikuwa hawataki kukutana na Simba kwenye fainali
Ukisikia kupigwa na kitu kizito ndo hii.Yalikuwa mabadiliko late ili aingie Kepa kudaka penati hakuna sababu nyingine, Mendy hakuwa ameumia. Na kocha alirudia hiyo game plan dhidi ya Barnsley....Kepa ndio mdaka penati wa Chelsea, kuna hoja nyingine ? [emoji205]View attachment 2076149View attachment 2076150
Aisee mnamuua sasaš¤£African Champions League final between Enyimba FC of Nigeria and Tunisian side Etoile Sahel went to penalties after the two-legged tie finished 3-3, the former opted to switch keepers.
Off came Vincent Enyeama, with penalty specialist Dele Aiyenugba taking his place. Aiyenugba duly saved Ben Frej's effort as Enyimba prevailed 5-3 and retained their crown. Incredibly, Enyimba had done exactly the same thing in the semi-finals against another Tunisian side, Esperance, where Aiyenugba saved two penalties and saw two others missed.
Deliberately subbing goalkeepers for penalties
Plus: Celtic's Indian who only played in bandages, goalscoring goalkeepers, the most European Cup campaigns without winning and unmasking Nicole Wright. Email your questions and answers to knowledge@guardian.co.ukwww.theguardian.com
kwanini yalifanyika mabadiliko ? hoja yangu iko hapo