Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 398
- 706
Salam wajomba na mashangazi,
Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini advantage iliopo katika ujasiriamali ni ndg sana.kivp? angalia hapa.
Ulinganishi wa juu
Wafanyabiashara wakubwa kama Mo na bakhresa hawawazidi sana wakurugenzi na mameneja wa makampuni makubwa na mabenki maana hawa huwa na hisa katka makampuni hayo na hupata mgao mkubwa sana ila tu sabab wao sio maarufu watu hawafahamu.
Kwaiyo kuwa mwajiriwa katk nafs za juu ya taasisi ni njia mojawapo ya kutajirika,usiseme ni ngumu kufika huko sabab kutajirika kama mo na bakhresa ni ngum zaidi.
Ulinganishi wa kati
Wafanyabiashara wenye kipato cha kati kwenye range ya 5,000,000 - 100,000,000 net profit kwa mwezi. Nao hawatofautiani sana na waajiriwa kwenye taasisi kubwa za binafsi.usiseme taasisi za binafsi ni wachache hata wafanyabiashara wanaopata hiyo faida kwa mwezi ni wachche mnoo na wanatumia mda mwingi na kazi ngum na uvumilivu kufikia hapo ukilinganisha na waajiriwa wanaopata kipato sawa na hicho kwa mwezi.
Ulinganishi wa chini
Kundi hili la wafanyabiashara wadg ndio liko hoi zaidi ukilinganisha na wenzao walioajiriwa , yani hawa wakiteleza kidg tu mtaji wte chali.wengi wao hupata wakati mgumu sana kukukza biashra zao na ni aslimia ndg kati yao hufanikiwa kupanda kwenda kundi la kati, pia hutumia muda mrefu sana ukilinganisha na wenzao walioajiriwa .
Ushauri wangu, usitishwe na habar za biashara.cha msingi tumia rasililimali ulizonazo kupata elimu hasa katika masuala ya sayansi na biashara .
Mfano mtu mwenye elimu ngazi ya shahada ya uzamili (masters)katika masuala ya engineering, medicine , law, finance ana nafsi kubwa ya kufanikiwa maisha kuliko mtu anaeanza biashara
No hard feelings, just common sense!.
Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini advantage iliopo katika ujasiriamali ni ndg sana.kivp? angalia hapa.
Ulinganishi wa juu
Wafanyabiashara wakubwa kama Mo na bakhresa hawawazidi sana wakurugenzi na mameneja wa makampuni makubwa na mabenki maana hawa huwa na hisa katka makampuni hayo na hupata mgao mkubwa sana ila tu sabab wao sio maarufu watu hawafahamu.
Kwaiyo kuwa mwajiriwa katk nafs za juu ya taasisi ni njia mojawapo ya kutajirika,usiseme ni ngumu kufika huko sabab kutajirika kama mo na bakhresa ni ngum zaidi.
Ulinganishi wa kati
Wafanyabiashara wenye kipato cha kati kwenye range ya 5,000,000 - 100,000,000 net profit kwa mwezi. Nao hawatofautiani sana na waajiriwa kwenye taasisi kubwa za binafsi.usiseme taasisi za binafsi ni wachache hata wafanyabiashara wanaopata hiyo faida kwa mwezi ni wachche mnoo na wanatumia mda mwingi na kazi ngum na uvumilivu kufikia hapo ukilinganisha na waajiriwa wanaopata kipato sawa na hicho kwa mwezi.
Ulinganishi wa chini
Kundi hili la wafanyabiashara wadg ndio liko hoi zaidi ukilinganisha na wenzao walioajiriwa , yani hawa wakiteleza kidg tu mtaji wte chali.wengi wao hupata wakati mgumu sana kukukza biashra zao na ni aslimia ndg kati yao hufanikiwa kupanda kwenda kundi la kati, pia hutumia muda mrefu sana ukilinganisha na wenzao walioajiriwa .
Ushauri wangu, usitishwe na habar za biashara.cha msingi tumia rasililimali ulizonazo kupata elimu hasa katika masuala ya sayansi na biashara .
Mfano mtu mwenye elimu ngazi ya shahada ya uzamili (masters)katika masuala ya engineering, medicine , law, finance ana nafsi kubwa ya kufanikiwa maisha kuliko mtu anaeanza biashara
No hard feelings, just common sense!.