Wengi wa hawa si wahubiri wa neno la Mungu wa kweli. Wataingiza tu maneno kama Yesu Kristo, Mungu Baba, Roho Mtakatifu, Biblia n.k kuwapumbaza watu ila uhalisia ni motivational speakers wanaotumia kichaka cha dini kutumia hamasa zao na kuchukua pesa za watu kwa jina la sadaka, matoleo,fungu la kumi, sadaka, maalumu n.k.
Nimeziomba sana mamlaka zilitupie jicho jambo hili. Tusiache watu wachache waliangamize taifa kwa kuharibu akili za watu kwa kisingizio cha imani. Hatua zisipochukuliwa matapeli wote watahamia huko maana huko wanapiga pesa kwa raha zao.
Hakuna bugudha. Ni kama kupata nchi unapoweza kuuza mihadarati hadharani ya kuharibu akili za taifa na hakuna anayekuuliza. Ninarudia tena mamlaka zisisubiri mpaka wasikie yale ya Kibwetere au au yale ya kule Kilifi ndipo hatua zichukuliwe.
Yale yote yalianza na mahubiri haya ya kuharibu akili za watu. Na was wawili husema MAJI YAKIMWAGIKA HAYAZOLEKI. Tusisubiri mpaka maji yamwagike.
Nimeziomba sana mamlaka zilitupie jicho jambo hili. Tusiache watu wachache waliangamize taifa kwa kuharibu akili za watu kwa kisingizio cha imani. Hatua zisipochukuliwa matapeli wote watahamia huko maana huko wanapiga pesa kwa raha zao.
Hakuna bugudha. Ni kama kupata nchi unapoweza kuuza mihadarati hadharani ya kuharibu akili za taifa na hakuna anayekuuliza. Ninarudia tena mamlaka zisisubiri mpaka wasikie yale ya Kibwetere au au yale ya kule Kilifi ndipo hatua zichukuliwe.
Yale yote yalianza na mahubiri haya ya kuharibu akili za watu. Na was wawili husema MAJI YAKIMWAGIKA HAYAZOLEKI. Tusisubiri mpaka maji yamwagike.