"Hakuna umoja wa wenye njaa". Kwa nyakati hizi nje ya Mbowe, Sumaye angefaa sana kuwa m/kiti CHADEMA

"Hakuna umoja wa wenye njaa". Kwa nyakati hizi nje ya Mbowe, Sumaye angefaa sana kuwa m/kiti CHADEMA

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna usemi kwamba "hakuna umoja wa wenye njaa". Usemi huu unamaanisha kwamba mtu mwenye chakula akipita karibu na watu ambao wako pamoja lkn wana njaa watasambaratika kwa kasi ya kimbunga.

CHADEMA ni umoja wa watu wa wenye njaa, maana hakuna nafasi za uteuzi/vyeo.

Wakati ambapo CCM kuna nafasi za veyo lukuki kuanzia DAS, RAS, RC, DC, DED, DEO, ubalozi, n.k. Huu ni umoja wa watu wenye shibe.

Kwa mantiki hii tutegemee wanachadema wengi kuhamia CCM.

Mbowe m/kiti taifa wa cdm, ana ukwasi wa kutosha (ameshiba) ndani na nje ya nchi, ndiyo maana hatikiswi na ccm (wenye shibe).

Mrithi wa Mbowe anapaswa awe ni mtu asiye na njaa ya pesa ama vyeo. Namuona Sumaye aliyewahi kuwa Waziri mkuu kwa miaka 10 kuwa ndiye mtu sahihi kumrithi Mbowe kwenye nafasi ya uenyekiti taifa. Sumaye hawezi kutamanishwa na cheo cha RC, DC, DAS, RAS, DED, DEO, ubalozi, n.k. Na hata ukwasi anao wa kutosha.

Huu ni ushauri tu, na ni juu yenu CHADEMA kuuchukua ama kuumwaga. Ili kufifisha hizi propaganda za usultani wa Mbowe kwenye nafasi ya mwenyekiti ni vema aachie ngazi.
 
Uongozi ni sawa na siti ya daladala ukishuka anapanda mwingine
 
labda awe Mwenyekiti wa tawi LA mitandaoni

yeye asubiri uwaziri Mkuu,ndio ana uzoefu nao
 
Cecilia mwamba Ndio mrithi sahihi

Anajua sana kupangua hoja
 
Another soporific season of CDM election, Mbowe akishachukua form the outcome is clear.
 
Pia Sumaye hana mambo ya kihunihuni kama DJ Mbowe, mzee wa totooz.

Sumaye ametulia na atakiendesha chama kwa haki bila upendeleo.

Mbowe utoto mwingi na ubishololo wa kupenda mabinti na kubaka kwa kupitia nafasi yake kama Mwenyekiti kwa kuwaahidi nafasi za viti maalum.
 
Pia Sumaye hana mambo ya kihunihuni kama DJ Mbowe, mzee wa totooz.
Sumaye ametulia na atakiendesha chama kwa haki bila upendeleo.
Mbowe utoto mwingi na ubishololo wa kupenda mabinti na kubaka kwa kupitia nafasi yake kama Mwenyekiti kwa kuwaahidi nafasi za viti maalum.
Mbowe alikubaka binti?
Ulipeleka shauri polisi na hatimaye kufunguliwa kesi?
 
Komoni ya asubuhi hii! Soma para 4'... Mbowe m/kiti taifa CCM..'
 
Pia Sumaye hana mambo ya kihunihuni kama DJ Mbowe, mzee wa totooz.
Sumaye ametulia na atakiendesha chama kwa haki bila upendeleo.
Mbowe utoto mwingi na ubishololo wa kupenda mabinti na kubaka kwa kupitia nafasi yake kama Mwenyekiti kwa kuwaahidi nafasi za viti maalum.
Ungejuwa wakati wa mzee alipokuwa wa mabarabara ametelekeza watoto wangapi ndio ungejuwa maana ya neno uhuni.
Hakuna mahali palikuwa panajengwa barabara mpya palisalimika kwa wahudumu wa bar na hoteli
 
Back
Top Bottom