Naamini asilia mia wachina export price zote tunazotuma kwao wanatumia haya madubwi kutulipa, huku sisi import zote tunazoagiza kutoka kwao tunawalipa tena kwa mfumo wa dollar jasho kubwa la nchi na wananchi tunachopata kisa viongozi wachache wanaonufaika na michezo hii
Ukiwaza sana haya machine ya mchina Yana faida Gani kwa mwananchi wetu, ingekua sisi ndo tumeyapeleka kwao isingepita muda wangetunyogea mbali