Hakuna umuhimu wa uchaguzi tanzania

Hakuna umuhimu wa uchaguzi tanzania

Kuna umuhimu wa kupiga kura tanzania

  • Ndio

    Votes: 10 45.5%
  • Hapana

    Votes: 12 54.5%
  • Sijui

    Votes: 1 4.5%

  • Total voters
    22

Poa 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
1,317
Reaction score
1,320
Habari Wana jf

Kama katiba ni Ile Ile,
Msajili wa vyama vya siasa ni yule yule,

Tume ya uchaguzi ni Ile Ile, matokeo ya uraisi hayahojiwi popote baada ya kutangazwa.

Wasimamizi wa uchaguzi ni wale wale, TAMISEMI na WAALIMU.
Sheria za uchaguzi ni zile zile,

Jeshi LA polisi ni lile lile La kukimbia na mabox ya kura,

Mahakama ni zile zile,

Ccm ni Ile Ile isiyokuwa tayari kuachia madaraka Kwa njia ya uchaguzi,

Dola ni Ile Ile ya kutumiwa na ccm Ili ibaki madarakani.

Unyama, vipigo, mateso utekaji na kusulubiwa Kwa wapinzani hasa chadema kupo pale pale.
Kwa kweli kwenda kwenye uchaguzi ni kupeleka vijana na wanachama wetu machinjioni.


Tubadili mbinu za kupambana na ccm, tutumie hizi hizi wanazotumia wao.
Tusimwachie Mungu mambo/ wajibu tunaopaswa sisi kuutimiza.

Siasa za tanzania Kwa Sasa zinatakiwa ziwe jino Kwa jino,jicho Kwa jicho ukipigwa jicho piga sikio tofauti na hivyon ni kujilisha upepo na ccm itabaki madarakani miaka 1000.

Tumaini la wapiga kura hasa wa upinzani ni kuona upinzani usiokubali kuibiwa, kuonewa, kutekwa, n.k

Bila upinzani imara na mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi hatuna haja ya uchaguzi maana ni kuhalalisha wizi na dhulma za ccm.
 
Eti mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anateuliwa na raisi! Halafu tunapanga foleni kupiga kura kumchagua raisi! Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha kabisa. Raia wa nchi hii hawana elimu yoyote
 
Hakuna umuhimu.

Mapinduzi ndio yana umuhimu.
 
Eti mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anateuliwa na raisi! Halafu tunapanga foleni kupiga kura kumchagua raisi! Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha kabisa. Raia wa nchi hii hawana elimu yoyote
Sio mwenyekiti wa tume TU mkuu hata igp, msajili, jaji mkuu na mgombea mmoja ni mwenyekiti wa chama kinacho wateua hai wakuu wa vyombo halafu Mimi kapuku kutoka Hulu nakapanyaa napanga mstari kutwa nzima heti kuchagua raisi ni ujuha kabisa
 
"Tanzania hakuna uchaguzi,bali maonesho ya upumbavu wa mtu mweusi,kwenye sanduku la Kura"Tindo
 
Wakati mwingine watanzania tunaonekana makondoo kabisa
 
Habari Wana jf

Kama katiba ni Ile Ile,
Msajili wa vyama vya siasa ni yule yule,

Tume ya uchaguzi ni Ile Ile, matokeo ya uraisi hayahojiwi popote baada ya kutangazwa.

Wasimamizi was uchaguzi ni wale wale, TAMISEMI na WAALIMU wao wasiojielewa,
Sheria za uchaguzi ni zile zile,

Jeshi LA polisi ni lile lile La kukimbia na mabox ya kura,

Mahakama ni zile zile,

Ccm ni Ile Ile haiko tayari kuachia madaraka Kwa njia ya uchaguzi,

Dola ni Ile Ile ya kutumiwa na ccm Ili ibaki madarakani.

Unyama, vipigo, mateso utekaji na kusulubiwa Kwa wapinzani hasa chadema kupo pale pale.

Lkn jambo la kipuuzi ni kwamba Bado tunaimba mapambio ya amani wakati tunauwawa,tunateswa, tunafungwa na tunateswa vile vile.

Bila visasi hata Kwa mtu mmoja mmoja kati ya wale wanaotufanyia unyama kamwe tusahau kujikomboa.

Tubadili mbinu za kupambana na ccm, tutumie hizi hizi wanazotumia wao.

Chadema ni Ile Ile na mbinu zao zinazoonyesha kufeli kupambana na ccm heti kumwachia Mungu.

Siasa za tanzania Kwa Sasa zinatakiwa ziwe jino Kwa jino,jicho Kwa jicho ukipigwa jicho piga sikio tofauti na hivyon ni kujilisha upepo na ccm itabaki madarakani miaka 1000.

Tumaini la wapiga kura hasa wa upinzani ni kuona upinzani usiokubali kuibiwa, kuonewa, kutekwa, n.k

Bila upinzani imara hatuna haja ya uchaguzi maana ni kuhalalisha wizi na dhulma za ccm.
CDM ni chama cha siasa hakiwezi kuwa chama cha kigaida kwa sababu hata hao wanao wafanyia vitendo vya kunyama wengi hawafanyi ktk mfumo ulio rasmi. Kikienda kinyume na misingi ya usajili wao kitafutwa. Chama cha siasa kifanye kazi za siasi kikishindwa wakubali waishi kama Udpd, au TADEA, au NCCR, ila kisijaribu kuunda makundi ya kigaidi chini kwa chini watafyekwa mama nyasi, kwasababu wenzao wanauzoefu na vyombo vilivyo pewa mafunzo ya hali ya juu kushughulika na watu wa sampuli hiyo. Wao saendelee na harati na taratibu hizo hizo walizo zikubali mpaka wakapata usajili, zikiwashinda wasarende.
 
Habari Wana jf

Kama katiba ni Ile Ile,
Msajili wa vyama vya siasa ni yule yule,

Tume ya uchaguzi ni Ile Ile, matokeo ya uraisi hayahojiwi popote baada ya kutangazwa.

Wasimamizi was uchaguzi ni wale wale, TAMISEMI na WAALIMU wao wasiojielewa,
Sheria za uchaguzi ni zile zile,

Jeshi LA polisi ni lile lile La kukimbia na mabox ya kura,

Mahakama ni zile zile,

Ccm ni Ile Ile haiko tayari kuachia madaraka Kwa njia ya uchaguzi,

Dola ni Ile Ile ya kutumiwa na ccm Ili ibaki madarakani.

Unyama, vipigo, mateso utekaji na kusulubiwa Kwa wapinzani hasa chadema kupo pale pale.

Lkn jambo la kipuuzi ni kwamba Bado tunaimba mapambio ya amani wakati tunauwawa,tunateswa, tunafungwa na tunateswa vile vile.

Bila visasi hata Kwa mtu mmoja mmoja kati ya wale wanaotufanyia unyama kamwe tusahau kujikomboa.

Tubadili mbinu za kupambana na ccm, tutumie hizi hizi wanazotumia wao.

Chadema ni Ile Ile na mbinu zao zinazoonyesha kufeli kupambana na ccm heti kumwachia Mungu.

Siasa za tanzania Kwa Sasa zinatakiwa ziwe jino Kwa jino,jicho Kwa jicho ukipigwa jicho piga sikio tofauti na hivyon ni kujilisha upepo na ccm itabaki madarakani miaka 1000.

Tumaini la wapiga kura hasa wa upinzani ni kuona upinzani usiokubali kuibiwa, kuonewa, kutekwa, n.k

Bila upinzani imara hatuna haja ya uchaguzi maana ni kuhalalisha wizi na dhulma za ccm.
Tz tungekuwa na tume huru km South Africa,2025 chadema waweke JIWE/ KUKU/ BATA au MBUZI na CCM TUMSIMAMISHE SAMIA,,nina HAKIKA ya 10000000000% Chadema WATASHINDA tena kwa KISHINDO KIKUBWA MNOOOOOOOOOO
 
Habari Wana jf

Kama katiba ni Ile Ile,
Msajili wa vyama vya siasa ni yule yule,

Tume ya uchaguzi ni Ile Ile, matokeo ya uraisi hayahojiwi popote baada ya kutangazwa.

Wasimamizi was uchaguzi ni wale wale, TAMISEMI na WAALIMU wao wasiojielewa,
Sheria za uchaguzi ni zile zile,

Jeshi LA polisi ni lile lile La kukimbia na mabox ya kura,

Mahakama ni zile zile,

Ccm ni Ile Ile haiko tayari kuachia madaraka Kwa njia ya uchaguzi,

Dola ni Ile Ile ya kutumiwa na ccm Ili ibaki madarakani.

Unyama, vipigo, mateso utekaji na kusulubiwa Kwa wapinzani hasa chadema kupo pale pale.

Lkn jambo la kipuuzi ni kwamba Bado tunaimba mapambio ya amani wakati tunauwawa,tunateswa, tunafungwa na tunateswa vile vile.

Bila visasi hata Kwa mtu mmoja mmoja kati ya wale wanaotufanyia unyama kamwe tusahau kujikomboa.

Tubadili mbinu za kupambana na ccm, tutumie hizi hizi wanazotumia wao.

Chadema ni Ile Ile na mbinu zao zinazoonyesha kufeli kupambana na ccm heti kumwachia Mungu.

Siasa za tanzania Kwa Sasa zinatakiwa ziwe jino Kwa jino,jicho Kwa jicho ukipigwa jicho piga sikio tofauti na hivyon ni kujilisha upepo na ccm itabaki madarakani miaka 1000.

Tumaini la wapiga kura hasa wa upinzani ni kuona upinzani usiokubali kuibiwa, kuonewa, kutekwa, n.k

Bila upinzani imara hatuna haja ya uchaguzi maana ni kuhalalisha wizi na dhulma za ccm.
No reform, no election
 
Tz tungekuwa na tume huru km South Africa,2025 chadema waweke JIWE/ KUKU/ BATA au MBUZI na CCM TUMSIMAMISHE SAMIA,,nina HAKIKA ya 10000000000% Chadema WATASHINDA tena kwa KISHINDO KIKUBWA MNOOOOOOOOOO
Bila polisi ccm ni wepesi kama pamba
 
Habari Wana jf

Kama katiba ni Ile Ile,
Msajili wa vyama vya siasa ni yule yule,

Tume ya uchaguzi ni Ile Ile, matokeo ya uraisi hayahojiwi popote baada ya kutangazwa.

Wasimamizi wa uchaguzi ni wale wale, TAMISEMI na WAALIMU.
Sheria za uchaguzi ni zile zile,

Jeshi LA polisi ni lile lile La kukimbia na mabox ya kura,

Mahakama ni zile zile,

Ccm ni Ile Ile isiyokuwa tayari kuachia madaraka Kwa njia ya uchaguzi,

Dola ni Ile Ile ya kutumiwa na ccm Ili ibaki madarakani.

Unyama, vipigo, mateso utekaji na kusulubiwa Kwa wapinzani hasa chadema kupo pale pale.
Kwa kweli kwenda kwenye uchaguzi ni kupeleka vijana na wanachama wetu machinjioni.


Tubadili mbinu za kupambana na ccm, tutumie hizi hizi wanazotumia wao.
Tusimwachie Mungu mambo/ wajibu tunaopaswa sisi kuutimiza.

Siasa za tanzania Kwa Sasa zinatakiwa ziwe jino Kwa jino,jicho Kwa jicho ukipigwa jicho piga sikio tofauti na hivyon ni kujilisha upepo na ccm itabaki madarakani miaka 1000.

Tumaini la wapiga kura hasa wa upinzani ni kuona upinzani usiokubali kuibiwa, kuonewa, kutekwa, n.k

Bila upinzani imara na mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi hatuna haja ya uchaguzi maana ni kuhalalisha wizi na dhulma za ccm.
Mama endelea kuongoza uchaguzi hamna😈😈😈
 
Back
Top Bottom