Hakuna utawala bora pasipo uadilifu na uwajibikaji

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Katika uongozi wowote ambao una utawala bora ndani yake ni lazima kuwepo na mambo yafuatayo;

Utawala unaozingatia sheria

Viongozi kuwa wawajibikaji kwa wanaowaongoza.

Viongozi kuwa wakweli na wazi katika uongozi.

Vyombo vya habari vinapewa uhuru pasipo kuviwekea vikwazo katika shughuli zao.

Kuzingatia haki za binadamu na kuzilinda kwa kiasi kikubwa.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…