Hakuna uwezekano wa kutumia satelaiti kudhibiti uhalifu?

Hakuna uwezekano wa kutumia satelaiti kudhibiti uhalifu?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari wanajamvi. Hili wazo nimekuwa najiuliza kama Kuna uwezekano wa kutumia satelaiti ( low orbit satellites) ambazo zinaweza kutupa images za kubaini matukio ya uhalifu kutoka angani na kuwabaini wahusika ili kuondokana na haya mambo ya "watu wasiojulikana".

Kama tukio limetokea Magali basi tunaipa satelaiti coordinates za eneo then inatupa images na videos za eneo husika Kwa muda ambazo tukio lilitokea.

Jambo hili haliwezekani?
 
Samahani kwenye title neno la mwisho lilitakiwa kuwa Uhalifu?
 
Labda kwanza ungepita hata youtube kujifunza
 
Labda kwanza ungepita hata youtube kujifunza
Kujifunza Nini mkuu? Nilishapita huko majibu niliyopata ni kwamba satellites hazina uwezo wa kutoa images zenye resolution ya kutosha to enable recognition of the individuals
 
Labda kwanza ungepita hata youtube kujifunza
Au mkuu Himars kama una link ya video nyingine waweza kunipa. Nimeweka huu Uzi ili kama ni suala lisilowezekana liwe kama changamoto na lifanyiwe kazi
 
Back
Top Bottom