Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Ndege mpya Za ATCL.Ndege special thread au the last ndege special thread.
Basi tuanzishe uzi wa kumpongeza JPM kwa kutufufulia shirika letu la ndege ambalo litasaidia kuongeza pato la TaifaWaziri Kamwere alitupiga marufuku kuitangaza ndege hio ikiwa inakuja,so haikuongelewa humu.
Wasalimie misri mkuuMh...............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Basi tuanzishe uzi wa kumpongeza JPM kwa kutufufulia shirika letu la ndege ambalo litasaidia kuongeza pato la Taifa