Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho.
Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality ni HD.
Story nzuri.
Huwezi amini location ni Manyara ,Babati
Japo audio sio nzuri ila hiki kichupa ni moto kwa kweli..
Big up Harmonize, roll up Hanscana.
[/QUOTE
Mbona hujaweka jina la wimbo ili upate waungaji mkono?
Dogo anaanza kuwa vzr,Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho.
Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality ni HD.
Story nzuri.
Huwezi amini location ni Manyara ,Babati
Japo audio sio nzuri ila hiki kichupa ni moto kwa kweli..
Big up Harmonize, roll up Hanscana.
Cha ajabu watu wanskwambia hapa anakaribia kupotea mzeeDogo anaanza kuwa vzr,
Ile corabo ya come into my room/kwenye chorus,amepatendea haki sana,kama mamntoni mwanangu
Vipi video Bado Ni Kali?Cha ajabu watu wanskwambia hapa anakaribia kupotea mzee
[emoji38][emoji38][emoji38]Vipi video Bado Ni Kali?
Why not bado ipo kwenye orodha ya video kaliVipi video Bado Ni Kali?
Hii ndio rangi yako halisiWhy not bado ipo kwenye orodha ya video kali
Bado wenzio wanabishaUwepo wa video vixen,,mtoto mzuri Mimi mars ndo kilichonivutia zaidi kwenye hio video
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwendaaàa kwahiyo tuseme mbaya hata kama nzuriHii ndio rangi yako halisi
Kwa mtazamo wangu, video Ni nzuri Ila siyo kwamba Ni Kali kuzidi video zote zilizowahi kutokea yaan hii hata nikiiweka na mdogo mdogo ya diamond Naona bado haijaifikia.ni maoni yangu lakin[emoji855]Kwendaaàa kwahiyo tuseme mbaya hata kama nzuri
Yeah ni maoni yakoKwa mtazamo wangu, video Ni nzuri Ila siyo kwamba Ni Kali kuzidi video zote zilizowahi kutokea yaan hii hata nikiiweka na mdogo mdogo ya diamond Naona bado haijaifikia.ni maoni yangu lakin[emoji855]
Ahsante kwa kurekebisha kauli[emoji95][emoji95]Yeah ni maoni yako
Ile ya diamond alilipa million 70 tofaut na hii ya harmonize kwa hanscana
Wakati diamond alishoot kwa godfather..
Viwango vinatofautiana godfather na director mkubwa lakini haiondoi kuwa video ya harmonize ni moja ya video kali