nlposoma rasimu. Nlielewa hv kua hakuta kua na vt maalum kla m2 atafute jmbo la kugombea. Il 2pate usawa kat ya wanaume na wanawake. Kngne kla jmbo kutakua na wagombea wawil wa kike n kiume. Mfano pale ubungo 2takua na wabunge wa2 au naelewa vbaya. Naomba nnieleweshe wezangu. Kama n kwel itabd Bunge liongezewe vt mana watakuwa weng xna