Hakuna vit maalum kwa wamama. Jtoen mkagombee,..? tafuta jmbo mapema

Hakuna vit maalum kwa wamama. Jtoen mkagombee,..? tafuta jmbo mapema

Barhearty

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
319
Reaction score
29
nlposoma rasimu. Nlielewa hv kua hakuta kua na vt maalum kla m2 atafute jmbo la kugombea. Il 2pate usawa kat ya wanaume na wanawake. Kngne kla jmbo kutakua na wagombea wawil wa kike n kiume. Mfano pale ubungo 2takua na wabunge wa2 au naelewa vbaya. Naomba nnieleweshe wezangu. Kama n kwel itabd Bunge liongezewe vt mana watakuwa weng xna
 
nlposoma rasimu. Nlielewa hv kua hakuta kua na vt maalum kla m2 atafute jmbo la kugombea. Il 2pate usawa kat ya wanaume na wanawake. Kngne kla jmbo kutakua na wagombea wawil wa kike n kiume. Mfano pale ubungo 2takua na wabunge wa2 au naelewa vbaya. Naomba nnieleweshe wezangu. Kama n kwel itabd Bunge liongezewe vt mana watakuwa weng xna
Enfelea kusoma kwa kutulia majimbo ya uchaguzi siyo hayo unayojua kwa katiba ya sasa, wabunge hawazidi 75.
 
kumbe majmbo gani hyo. Hebu nsaidie . Tunatofautiana kuelewa
 
dada we pitia rasimu yooote utapata majibu ya maswali yako.
 
Iko hv hayo majimbo n kama mikoa ilivo,kama DSM,Mwanza,Shy,Tabora,Kili,Arusha,Manyara,Moro,Dom,Ruvuma,Mbeya,Iringa,kagera,Kigoma,Pemba,Unguja,Mafia, na mengio,,,,,,,mbaba mmoja na mmama mmoja,,,,,
 
ok. Nmekupata thanx . Kwahyo hapa dar 2takua na wabunge wa2 tu
 
Back
Top Bottom