Hakuna wa kumzuia Deontay Wilder

Hakuna wa kumzuia Deontay Wilder

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Jambazi sugu lisilopigika DEONTAY WILDER au ukipenda muite BRONZE BOMBER au BOOOOMB SQUAD nicknames ambazo amepewa na mashabiki kutokana ma uzito wa makonde yake yasiyo zuilika .

Wengi sana wamekuwa wakimkwepa kwepa DEONTAY WILDER kwa kuhofia kuharibu rekodi zao akiwemo ANTHONY JOSHUA (A.J)

Lakini kuna haka kajamaa ka Tyson Furry kamejichanganya kukubali kuzipiga na Deontay ,mamaaae atafurahi na roho yake.

Wilder mpige ngumi kumi ila yeye akikupiga moja tu lazima ukae ,kwa lugha nyepesi tunasema Wilder ana One Punch Knockout Power ya nzito zaidi kuliko bondia yeyote yule kwa zama hizi.

Hakuna wa kumzuia Deontay Wilder, acha tumalizane na Furry kisha tumsambaratishe huyo mnigeria AJ.

BOOoooooooooooooooomb Squaaaaaaaaaad [emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378]
bronzebomber-20181126-0001.jpeg
 
Wilder ana Ngumi nzito saana. Wa kumsimamisha wilder atakuwa yule mpopo AJ na sio huyu Tyson fake.
 
Nnachokiona hapa hapa wewe n shabiki wa wilder ila jaribu kuangalia huyu wilder asikutishe na hizi ko zake kumbuka Tyson alimpiga Vladimir Klitschko's tena sio huyu aliepgwa na Joshua n yule aliekua na ubora wake sasa mwache huyu bronze bomber aka mzee wa makota kota akafundishwe ngumi
 
Wilder ana Ngumi nzito saana. Wa kumsimamisha wilder atakuwa yule mpopo AJ na sio huyu Tyson fake.
Aj atachezea za chembe mpaka ajinyee ..hamuwezi wilder hata kidogo ..sema tu Aj ni raia wa British na kama unavyojua waingereza watu wa promo nyingi sana misifa sifa kama wahaya
 
Tyson Fury ni "awkward" saana, kiasi kwamba hata mwenyewe pengine hajui ni ngumi gani atairusha. Lakini DW aatashinda kwa knockout raundi ya tano.
 
Dogo saturday utaanza kushindwa kujibu hapa unamjua Tyson au unamsikia ?
 
Back
Top Bottom