Hakuna wakunitoa Kwa huyu single Mother

Hakuna wakunitoa Kwa huyu single Mother

Mpo poa!

Nasema hivi hamnibandui ng'oo Kwa huyu mtoto.

Sijawahi kukutana na Mwanamke mwenye mapenzi matamu kama huyu.

Endeleeni kupiga kelele Watoto wa elfu mbiri.

I'm out
KWA KWELI 😁😁😁
5CA3C883-75F2-47A8-BEB2-9838AE34740A.jpeg
 
Na wakiendelea kuleta maneno maneno ya kiutovu wa nidhamu,,wapeleke Polisi,,,nami ndio chakula nipendacho(masingo maza) yana maelekezo sana hadi raha!!!
 
Mpo poa!

Nasema hivi hamnibandui ng'oo Kwa huyu mtoto.

Sijawahi kukutana na Mwanamke mwenye mapenzi matamu kama huyu.

Endeleeni kupiga kelele Watoto wa elfu mbiri.

I'm out
NAONA UMELETA UZI WA KUWAFARIJI WATU.
UKIISHA LALA NA KUZAA NA MWANAMKE, TAYARI UKO NA MKATABA NAYE!
UKIOA SAWA, NI NDOA YA UBIA.
MUDA WOWOTE NAPIMA OIL
NI RAHISI KUKATAA HADHARANI,
LAKINI MAPENZI YANAFANYIKA SIRINI.
KILA LA KHERI
 
Back
Top Bottom