Hakuna wakuu...Mkuu ni mmoja...Lagrangian ndugu yenu nabisha hodi.

Hakuna wakuu...Mkuu ni mmoja...Lagrangian ndugu yenu nabisha hodi.

Lagrangian

Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
79
Reaction score
66
Habari wakuu..

Lagrangian ndugu yenu... naliisikia ikitamba sana....ikitisha kama nyambizi kwa kuchana mawimbi kwa kasi, upepo wake ukanivutia..yalinibidi nijisogeze jirani nijione utamu wake.

Lagrangian ndugu yenu, nabisha hodi kwa wakuu...ila tambueni kua mkuu ni mmoja tu..nae ni Mkuu kuliko ninyi tena Mkuu sana.

Naomba kukaribishwa...


Lagrangian
 
Back
Top Bottom