Hakuna watu walikuwa na majivuno kama waliomiliki hiki kifaa

HUU UZI KWA JICHO LA TATU, UMEBAINISHA UMRI WA WATU BILA WAO KUJIJUA.
Hivi vi console bado vinauzwa kwenye stationary viosks na kwa machinga kwa hiyo historia bado inaendelea sema havinunuliwi sana kama zamani.
 
Ha ha kuna jamaa yangu alidakwa kwao, akasingizia hilo game ni langu, mama ake alikuwa mwalimu wetu Ikabidi aje kuniuliza, nikajibu ndio langu nilimuazima... Ikabidi nipewe na mimi ukawa wakati wangu wa usultani!?
 
Ha ha kuna jamaa yangu alidakwa kwao, akasingizia hilo game ni langu, mama ake alikuwa mwalimu wetu Ikabidi aje kuniuliza, nikajibu ndio langu nilimuazima... Ikabidi nipewe na mimi ukawa wakati wangu wa usultani!?
Hahaa sio shule ya msingi Msasani Tukuyu kweli ? nakumbuka sie darasani S/Msingi Masebe alikuwa nako jamaa aliitwa Mark Kihula baba yake alikuwa meneja kwenye mashamba ya chai ya Chivanjee huko Msekela...basi ilikuwa full full minato
 
Kuna boya amekulaga 50/= zangu shule ya msingi mbaya kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah enzi hizo unakusanya msululu wa wana wacheze game [emoji1430]
 
Nilikuaga nakicheza wenzangu wakija nacho shule
 
Ha ha kuna jamaa yangu alidakwa kwao, akasingizia hilo game ni langu, mama ake alikuwa mwalimu wetu Ikabidi aje kuniuliza, nikajibu ndio langu nilimuazima... Ikabidi nipewe na mimi ukawa wakati wangu wa usultani!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3] hii mpaka leo nikilimiss huwa nadownload nacheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…