Hakuna watu walikuwa na majivuno kama waliomiliki hiki kifaa

Mtafute airudishe kwa rate ya leo hiyo ni kama buku 15 au 20 kabisa
Kwel kabisa mana ukiwa mwanafunzi enz izo hata upige kaz mwaka huez fikisha buku jero ya kununua. Ukiwa mjanja utamilik saa tu inayowaka taa kwa 500
 
Ha ha kuna jamaa yangu alidakwa kwao, akasingizia hilo game ni langu, mama ake alikuwa mwalimu wetu Ikabidi aje kuniuliza, nikajibu ndio langu nilimuazima... Ikabidi nipewe na mimi ukawa wakati wangu wa usultani!?
Umenikumbusha mbali sana, mwenye nacho anakuwa mbabe hata kama hana nguvu,ukimgusa tu huchezi,hata akikutukana unaogopa kurudsha usijenyimwa kucheza
 
Ilikuwa inaitwa Asahi...wenye uwezo ambao baba zao walikuwa na mali na ni viongozi kwenye chama cha ushirika walinunuliwa saa ya Disco...sie yetu yalikuwa makubazi na saa ya kimulimuli na senti moja ya kutumia juma zima...hawa wenzetu walikunja mkono wa sweta ili saa zao za bei mbaya zionekane...wengine waliletewa na kaka zao kutoka ng'ambo...sie wa sukari gulu saa zetu hazikuwa na mkanda kama ulikuwemo basi tuliulazimishia na pini ya waya kwenye mkanda wake kama nyororo la greda.
Kwel kabisa mana ukiwa mwanafunzi enz izo hata upige kaz mwaka huez fikisha buku jero ya kununua. Ukiwa mjanja utamilik saa tu inayowaka taa kwa 500
 
Waliokuwa wezi wa peni na vitu vingine class ikiwemo hii nk wengi wao waliishia kuwa mafisadi papa na majambawazi hope hukufika kwenye fani hizi
Ase bado cjafikia hizi fani. Nikifikia ntasema. Ila kwa sasa tuvunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…