Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Mbona mada za pombe zimeshamiri sanaIjalishi ni msikitini, kanisani, kwa profesa janabi, serikalini, kazini, mitaani na n. K
Ila wanywa pombe ni watu ambao wanaumoja kwenye mambo yao kuliko hawa wasiotumia.
Leo jioni mtu anajigamba kuninunulia kahawa elfu moja yani ilivyo chungu alafu hakuna la maana kazi kusema watu na kudanganyana.
Ulishafika kwa wanywa soda au kahawa ukapewa mtu fulani anakupa mchongo zaidi ya simba na yanga. Na umbea nani kafulia kama maneno ya msigwaMbona mada za pombe zimeshamiri sana
Katika jamii nyingi za kiafrika, pombe imekuwa ikitumika kurejesha amani, mahusiano, kuposa mke, kutibu na katika tafrija mbalimbali. Muhimu itumiwe kwa kiasi..!Ijalishi ni msikitini, kanisani, kwa profesa janabi, serikalini, kazini, mitaani na n. K
Ila wanywa pombe ni watu ambao wanaumoja kwenye mambo yao kuliko hawa wasiotumia.
Leo jioni mtu anajigamba kuninunulia kahawa elfu moja yani ilivyo chungu alafu hakuna la maana kazi kusema watu na kudanganyana.
Ushasikia mnywa soda au kahawa kapanda juu ya kisturi maana hizi sehemu hakuna meza za kuchezea mapiano. Kahawa ilivyo chungu lazima uwe na uchungu wa roho mbaya na wanywa soda sukari nyingi mpaka imfanya dokta janabi kukosa nyweleKatika jamii nyingi za kiafrika, pombe imekuwa ikitumika kurejesha amani, mahusiano, kuposa mke, kutibu na katika tafrija mbalimbali. Muhimu itumiwe kwa kiasi..!
Hata mimi huu umoja nauelewa sana, ile namna uliyokuwa unaniambia itabidi nianze kunywa kidogo huenda ikawaAhahah usipende kununuliwa nunua
Itafaa zaid hivi cm yko hsish chaji eeHata mimi huu umoja nauelewa sana, ile namna uliyokuwa unaniambia itabidi nianze kunywa kidogo huenda ikawa
Umeme wa uhakika iko full 24/7Itafaa zaid hivi cm yko hsish chaji ee
Hakika mitano tena kwa mamaUmeme wa uhakika iko full 24/7
Sijasema kununuliwa. Sehemu za wanywaji kuna umoja sana na michongo mingi. Kwa wanywa kahawa na soda ukigeuza kisogo mjdala unaanza kukusimangaKaka, kama unapenda kununuliwa na ni mnywaji wa pombe, jichunge sana.. 😂🤣
Hili halipingiki ni jadi yetu.Ijalishi ni msikitini, kanisani, kwa profesa janabi, serikalini, kazini, mitaani na n.k
Ila wanywa pombe ni watu ambao wanaumoja kwenye mambo yao kuliko hawa wasiotumia.
Leo jioni mtu anajigamba kuninunulia kahawa elfu moja yani ilivyo chungu halafu hakuna la maana kazi kusema watu na kudanganyana.