Hakutatokea tena msanii mkali, mwenye kipaji kama 20%

Dawa aina ya bange ni hatari sana ukiitumie bila kufata mashart hasa ya lishe! Huyu jamaa angekuwepo muzikini tungekuwa na miziki ya kusikiliza na wakwe zetu na watoto wetu bila tahadhar!
hakika
 
Ngoma moja inaitwa sitoi ninayo mpaka leo, anamuhadithia mwanae jinsi alitaka mama yake atoe mimba yake jamaa anaandika sana na anafikiria kweli ndo hivyo tena.
 
Ngoma moja inaitwa sitoi ninayo mpaka leo, anamuhadithia mwanae jinsi alitaka mama yake atoe mimba yake jamaa anaandika sana na anafikiria kweli ndo hivyo tena.
nahisi itakuwa muendelezo wa mama neema, jamaa nyimbo zake zinakuaga kama na muendelezo flani hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…