Hakuwa cha kuzindua wiki hii?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Tangu ripoti ya CAG imetoka hatuja muona mtukufu barabarani akiwa na mkasi wake wa kuzindua. Hata vile viwanda vya saloon vya Lusinde hakuna kilichomalizika tupate kuona uso wa mzee?
 
Itakuwa anafikiria jinsi ya kumzindua CAG...

Kuleta umbea kwamba; 1.5T haileweki zimeenda wapi; ni suala linalohitaji uzinduzi wa CAG mpya!

Kuleta umbeya kwamba, serikali imedanganya kdeni halisi la taifa; ni jambo linalohitaji uzinduzi wa CAG mpya!

Kuleta umbeya kwamba, kuna ukwepaji kodi wa takribani 40 Billion kupitia ONLY mafuta ya migodini na transit goods; ni suala linalohitaji uzinduzi wa CAG mpya!
 
Mwenyezi Mungu amlinde CAG yasimpate yaliyompata Lissu
 
Yanaweza; but in other way round: "Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba, Mussa Juma amekimbizwa hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya moyo wake kushindwa kufanya kazi!"

Hatutoi kiki kwa risasi kwa watu kama Juma Hassan!
Mwenyezi Mungu mwangalie mja wako.
 
twasira ya CAG Muda wote ipo kichwani mwake '' anamuona kama mzimu"" hata genye zakufanya uzinduzi wa mchezo wa pool table hana
 
Tangu ripoti ya CAG imetoka hatuja muona mtukufu bararani akiwa na mkasi wake wa kuzindua. Hata vile viwanda vya saloon vya Lusinde hakuna kilichomalizika tupate kuona uso wa mzee?
Kumbe unammisi eeh!
Uzinduzi sio ratiba za ghafla, zipo ktk ratiba ya miezi 2 kabla.
 
Waliomwambia atubu aliishua kuwabeza
Aje atubeze na hiyo trillion tuone
Aturudishie pesa yetu
CAG analishangaa Bunge kutokuhoji
Bunge ilipashwa kuweka kila kitu pending washughulike na hili
Zitto lianzishe huko kabla Hii issue haijasahaulika
Kesi za wabunge zote zisimame
Hizi pesa Bunge au Serikali itueleze ziko wapi
Walikuwa wanachota kama pesa ya ukoo
Atubu kwa Mungu wake kwanza mengine yatafuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…