Katika harakati za maisha vijana 2naanzia sehem mbalimbali,mwaka 2006 ktk kuanza maisha ya kkaz nlijkuta nmepangwa mkoani Tabora ktk wilaya flan,hko nliish kma bachela,cku zlvozdi kwnd nlpata demu(mpenzi)alikuw kma mke kwn alitmiza kila swala linalomhusu mke,ikiwemo sex,kupka,kfua nk,bdae mwka 2009 nliondka tbr kwnd dsm kmasomo,ndo hpo 2kapotezna.ila ktk kpnd chote nlchokuw nae hakuwah uliza kazi,dini,kabila wala mi mwnyeji wa wap.KWANI KWA WENZETU AKINA DADA VITU HIVI HAVINA NAFASI KTK MAPENZI.