Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu siku hzi kuna nyaaatiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23] tangazo la ukuta hajaliona nn huyo jamaa.
Salama sana mkuu. Marry kwako pia nduguMkuu, salama lakini, Merry Xmas!
Mengine ya kweli kabisaHivi haya mahusiano ya humu huwaga ni ya ukweli???
Mkuu the bold hongera sana talanta yako imekupa mke jf niwatakie kila LA kheri kwenye ukurasa huu mpya mlioanzisha
Dah watu wanaroho ngumu asehMengine ya kweli kabisa
Mtangulize Mungu tuu kwa kila jambo boss.Mambo mengine yataenda saafii..Mungu awalinde na awawezeshe kufikia matamanio ya moyo wenu.Wooooww.!! Thank you so much wakuu..
Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]
Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..
Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..
Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..
Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..
Tunawapenda sana!
# TheBold's
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Imebidi niwaze huo mtongozo ambao nifah aliupata mana kwa ule uhandishi uliojaa weledi nadhani nifah aliona dunia yote ni yake aseh
Amen.!Mtangulize Mungu tuu kwa kila jambo boss.Mambo mengine yataenda saafii..Mungu awalinde na awawezeshe kufikia matamanio ya moyo wenu.
Nilishamwiba mkuu!!.....sikukuu nzima nipo nae!![emoji1]jje's upo wapi?
Kiaje?Dah watu wanaroho ngumu aseh
Tupo wengi aisee yaani watu wabaya sana hawa tangu nimepata habari ya hii couple sijaweza kupata usingizi[emoji13] ..haiwezekani wachaguane wao kwa wao. Nifah alitakiwa apate mwanaume boyaboya hivi na huyu shemeji apate mwanamke mjingamjinga hivi kama mimi ili kubalansi[emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tupo wengi aisee yaani watu wabaya sana hawa tangu nimepata habari ya hii couple sijaweza kupata usingizi[emoji13] ..haiwezekani wachaguane wao kwa wao. Nifah alitakiwa apate mwanaume boyaboya hivi na huyu shemeji apate mwanamke mjingamjinga hivi kama mimi ili kubalansi[emoji85]
Kwani wewe unaona ni jambo jepesi mtongoza MTU ambae hata hujui anafananaje?Kiaje?
Jepesi sana tu mbonaKwani wewe unaona ni jambo jepesi mtongoza MTU ambae hata hujui anafananaje?
Jepesi sana tu mbona
Chaaaa ni rahisi sana take izo risk kwenye biashara lakini sio mapenziJepesi sana tu mbona
Hadi sasa najiona malkia mkuu. The bold make me feel like a natural woman.Imebidi niwaze huo mtongozo ambao nifah aliupata mana kwa ule uhandishi uliojaa weledi nadhani nifah aliona dunia yote ni yake aseh