Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Wewe ndio umejua leo jamani?Kumbe ujambazi ulianza siku nyingi.
Mwambie tu kwakweli aongeze idadi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuombeni kheyr jamani,itabidi aliyetoa ofa aongeze idadi.
Kunukia muhimu [emoji108]
Hata kama umemuona wewe kwa jinsi ulivyokuwa na roho ngumu sidhani kama utamwambiaHata sijamuona.
Teh teh..Eti kalumanzila..Huyu ngoja niwe nae karibu uenda ana siri zako nyingiHivi baba watoto unamfahamu huyu kalumanzila au unamsikia!!!
Ukungwi aujuao ni wa kwa manyau nyau tu.
Bakora zikiisha useme niongeze pesaWaooooh sasa usijali kesho naianza hiyo kazi rasmi
Aah mie nitamwambia tu.Hata kama umemuona wewe kwa jinsi ulivyokuwa na roho ngumu sidhani kama utamwambia
Kumbe bado siri zangu unazitaka!!Teh teh..Eti kalumanzila..Huyu ngoja niwe nae karibu uenda ana siri zako nyingi
Duuh..Nimechanga karata zangu vibaya..Haya banaKumbe bado siri zangu unazitaka!!
Good news.
Huyo hana hata siri yangu moja.
Mie na manyau nyau wapi na wapi!!
Shaur yangu vipi mkuu??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shauri yako
Basi sawa,kila kher madameMore than serious.
Shukraan
#TheBold's#
nakutania humu watu wanapendana kweli...Shaur yangu vipi mkuu??
Shukraan mkuu.Basi sawa,kila kher madame
Noma sana,kumbe na fake hizhiz ID watu humu humu wanapendana mpk kupandananakutania humu watu wanapendana kweli...
wanajuana nk
Benny mlokole yule..Wala usiwe na wasiwasi nae..Yani yule hata jeographia ya eneo lile haijui
Ila nina mashaka kama asali iko salama, maana kale katoto Benny kwakweli sikaamini.
Ok..Kumbe kanajua kufunika asali yake..Safi sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ile event ni kile kibabu bazazi Asprin ndio alitaka amrubuni mwanangu aende without!!! Ila bahati nzuri hakwenda.
Kazana mamito..Malezi yako ni chuo tosha..Hivi mwanao HS ulishamfundisha kuvaa??..Mana kuna event moja alitutia aibu..Alienda without
Walaa haujachnga vibaya, usipingane na moyo ati!!Duuh..Nimechanga karata zangu vibaya..Haya bana
Eti eeh!! Basi ngoja nikuache hivyo hivyo.Benny mlokole yule..Wala usiwe na wasiwasi nae..Yani yule hata jeographia ya eneo lile haijui