Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hahahahah fanya mipango bwana kwa yule mrembo.. Mbadilishe moyo aache kuwachukia wanaume [emoji12]
Ewe mrembo uliekata tamaa juu yetu sisi wanaume, kupitia uzi huu wenye baraka za upendo uliotukuka baina ya wapendanao The bold na bi Nifah,.
Nakuomba uufungue moyo wako toka ktk kifungo cha mateso na uuruhusu kumpenda kijana mwenzio (BOMBAY).
sikutaji jina coz najua Sina mrembo mwengine humu ambae niliwahi kumwambia hisia zangu zaidi yako ww mrembo.
Please badili mtazamo wako hasi juu ya wanaume kwakunipenda Mimi ...amini huto juta tena. [emoji7]
 
Sasa mjomba ukijua The bold alivompata niffah unaweza kijiua.

Walianzia kwenye ugomviiii[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
 
Amen.!!

Ewe mrembo tafadhali pokea ombi hili la BOMBAY.. Mpe walau dakika chache mkae faragha ajieleze kwako [emoji4]
 
Sasa mjomba ukijua The bold alivompata niffah unaweza kijiua.

Walianzia kwenye ugomviiii[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Life is an interesting journey.! Nikikumbuka ile Vita kati yangu na mtoto mzuri, naamini kweli hiki tulichonacho sasa ni mpango wa Mungu.. Maana haiwezekani kabisa kwa akili za kibinadamu maadui wakubwa kiasi kile leo hii kuogelea kwenye mapenzi mazito kiasi hiki [emoji1] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…