Hakyanani, hakuna mateso makubwa haya

haya mambo yanaitaji ufundi wakuu

nakumbuka kuna kipindi naenda mwanzisha mdg wngu wa kike chuo niliopoa mmoja basi si unajua mzee mzima niliingia vizuri mavazi flesh na kila siku baada ya kazi nampitia dogo chuo na marafiki zake wakaanza dandia lift nilifanikiwa kumpata mrembo mmoja ifm

kwenye game sasa ambiwa ajitia ufundi mwingi sijui ilikua ndo mala yake ya kwanza dah!! alichubua koni yangu mpaka leo huo mchezo siutaki
 
Mkuu nitaanza kukufollow soon..
 
Hahahah, pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…