Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,647
swafi sana.Naamini wanaume wengi huwa hawakapendi haka katabia....unakuta umepanga kuonana na mdada labda geto au mmepanga na mmekutana sehemu lakini muda si muda utaskia mdada anaanza mara ooh unajua mi sikai sana nataka kuwahi, mara ooh ntatafutwa nyumbani...mtu ushakua kwenye mood nyingine afu na yeyd ndo anaanza na kipresha cha kuondoka...yani inakera sana...hivi zile huwa ni mbwembwe au nini?? Kama huna nafasi si ucje kabisa?? Ebo
swafi sana.
Sa unataka afanyaje kama kwao kuna muda maalumu wa kurudi na tofauti na hapo ni kipigo,acha ubinafsi uwe unajiweka pia kwenye nafasi ya mwenzio, kwani unafikiri yeye pia hataki au hana hamu?
Tafuta mijimama likija iltataka kulala hapo hapo ushindwe mwenyewe, si unapenda kupigamambo yetu yale.