Halafu haka katabia kwa akina dada huwa kana nikera kweli....

swafi sana.
 
Sa unataka afanyaje kama kwao kuna muda maalumu wa kurudi na tofauti na hapo ni kipigo,acha ubinafsi uwe unajiweka pia kwenye nafasi ya mwenzio, kwani unafikiri yeye pia hataki au hana hamu?
 
Sa unataka afanyaje kama kwao kuna muda maalumu wa kurudi na tofauti na hapo ni kipigo,acha ubinafsi uwe unajiweka pia kwenye nafasi ya mwenzio, kwani unafikiri yeye pia hataki au hana hamu?

hahahaha kiukweli umenifurahisha sana......eti kwani nayeye hana hamu lol..
 
Kipindi nipo kijana kama wewe swahiba wangu mmoja alikuwa anasema kama unategemea mgeni kama huyo usifagie fagie nakupanga vitu vizuri lol
 
Tafuta mijimama likija iltataka kulala hapo hapo ushindwe mwenyewe, si unapenda kupigamambo yetu yale.
Ahahha, kwa kweli mijimama huwa haina haraka, unakamua mpk basi


Il Gambino
 
Tafuta mijimama likija iltataka kulala hapo hapo ushindwe mwenyewe, si unapenda kupigamambo yetu yale.

mwanangu hii iko safi ila mijimama ya siku hizi mwanangu haichoki kwenye gemu yani utajitutumua lakini bado yupo tu daaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…